WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 932
umelipwa mshahara wa siku 30 na sasa ni siku 23 una matumizi mabaya....acha ufuska
Wabongo kwa kulalamika!
Yani ndo kwanza tarehe 23 imeingia lakini asubuhi asubuhi mtu ameshaanza kulalama hata nusu ya siku bado!!!
Acheni kujiendekeza bana.wewe unaishi kwa nguvu ya buku 7,mambo ya mshahara utayajulia wapi?
Kwahiyo eid el fitr ingekua tarehe 15 ungetaka upate mshahara tarehe 13???
Inaonekana siku kuu imekuchanganya kwakua mweupe mfukoni,
Kua mpole na ujifunze kuweka akiba.
Wabongo kwa kulalamika!
Yani ndo kwanza tarehe 23 imeingia lakini asubuhi asubuhi mtu ameshaanza kulalama hata nusu ya siku bado!!!
Umelipwa mshahara wa siku 30 na sasa ni siku 23 una matumizi mabaya....acha ufuska
Isue ni payrol kutoka hazina au kwenye akaunti zenu kuwe na mishahara kabla tarehe 23 haijaisha?Tumia akili hata kidogo wewe,mtoa mada ameshasema hata payroll hazijatoka hazina wakati kwa kawaida hutoka kuanzia tarehe 15.
Umelipwa mshahara wa siku 30 na sasa ni siku 23 una matumizi mabaya....acha ufuska
Serekali kweli imecharara JK mwezi mzima hajatoka hata kwenda saudi visiku hata 2 tuu.Kuna problem poleni wajiriwa wa serekalini tupo pamoja, Labda tarehe 35 huko baada ya sikukuu.
Isue ni payrol kutoka hazina au kwenye akaunti zenu kuwe na mishahara kabla tarehe 23 haijaisha?
Pamoja na kuwa Bajeti ya Serikali ilipitishwa kwa mbwembwe hadi leo HAZINA haijaweza kutoa fedha za Matumizi ya Kawaida na wala za Maendeleo. Tunavyoandika hata Ankara za Mishahara hazijatoka na Mwezi Julai ndio unakwisha. Kawaida watumishi wa Serikali hupokea Mishahara tarehe 23 ya kila Mwezi. Watumishi wanaingia kwenye sikukuu ya EID bila senti. Mwenyezi Mungu wanusuru wasianze biashara ya viungo vya binadamu.
Next time kwenye uchaguzi ujao mjitahidi mchague watu makini.Payroll kwanza ndo mshahara uingie kaka...kumbuka sasahiv kuna mabadiliko ya mishahara na hayo marekebisho kwenye system zao hawajafanya bado,system bado inasoma mishahara ya zamani... Upoo?!
:angry::angry::angry::angry:Ziara za mikoani anakwenda bure? hesabu kenda ngapi tokea mwaka wa fedha uanze?