Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
Ina,maana ya mwanamke haiesabiki?au yake ni out of family,
Kama ndo hivyo hatutawao tena ng'oo!ndiyo ukweli
na mkituzalisha ndiyo mtajua maharage ni mbogaKama ndo hivyo hatutawao tena ng'oo!
upatu (vocoba) na vipodozi pia kuhudumia kwao na ndugu zakeHawa watu cjui wanapeleka wapi pesa zao
Alf unakuta yuko home luku ikiisha au gas anampgia mmeoupatu (vocoba) na vipodozi pia kuhudumia kwao na ndugu zake
Si wote, hao ni wale ambao mtu alikosea kuoa.
Mbona miss chaga kakubali,.!?na mkituzalisha ndiyo mtajua maharage ni mboga
tunaomba hela hadi ya kupumuaMtatufanya nn!?
tunaomba hela hadi ya kupumua