Eh Mungu

Utusamehe pia wachafuaji wa thread na wachangia kila thread
Uwaongezee pia matusi mapya mapya maana haya matusi ya kahaba,malaya yameishiwaa ladhaa ,pia wasamehe waliopewaa ban za mie 6
,pia nawaombea wabeba box wote wasinyimwe haki yao msingii na wanaopinga hilii uwafanye hanithii woteeeeeeeee
AMINAAA
 
Migogorooooo na migombanoooo ... Makaziniii ni ukosefu wa nidhamu
 
uchi?? we unaujua uchi??

hebu weka picha tuone..

Usamehewe kutuwekeaa picha ya kabamiaa bora ungeweka libamiaa subiri Tyta aje atakuwekeaa picha na video kabisaaa
 
Last edited by a moderator:
Duniani kuna viumbe!
 
Two assumptions, 1. Amekata tamaa ya maisha ya sasa na yajayo 2. Sauti ya Mungu ndani mwake (ile sauti ndogooo ambayo mara zote hukukataza kutenda maovu) imepotea kabisa. Sasa cha muhimu ni kumuombeana tu.

Siku utakapokula wali mweupe ndo siku utakapojua ni bora kwanza utoe boriti ndani ya jicho lako, ndipo utakapoona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
 
ee mtakatifu mtakatifu baba wa mbinguni mwenye uwezo nguvu na mamlaka yote tunakuja kwako baba mwenye rehema okoa kizazi hiki cha watz wa JMK tukivunja nira za kila aina esp MICHEPUKO na ADULTERY vimekithiri sana ktk nchi hii ya JMK, nchi inayohitaj huruma yako aimeen!!!
 
pia rehemu the deceitful tongue of some ppo n sinners ili atleast ule moto wa jehamamu unaosemekana ni mkali mara 7 ya moto wa kawaida uwachome walau mara 6 tu ame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…