Egypt yaigomea US kuhusu kupokea Wapalestina wenye uraia pacha wa Marekani

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Licha ya mazungumzo ya kutosha na Bwana Blinken Misri wamwgoma kupokea Wakazi wapatao 600 wa Gaza wenye uraia Pacha wa Palestina-US.

Misri wamwgomea hilo wakidai kuwa bila kuruhusiwa kwa misaada ya kibinaadamu hawatafanya hivyo, lakini pia wamekataa kupokea wakimbizi wa palestina kwa madai kuwa si sawa kutimiza matakwa ya Israel kwa gharama ya mataifa mengine.

Source ni Aljazeera

Vita siyo poa,anyway tuiombee pia Ukraine

Soma zaidi:
Israel-Palestine conflict
Egypt’s tricky calculation as Israel’s assault on Gaza continues
The Egyptian government has stated its ‘rejection and denunciation of any displacement’ of Palestinians from Gaza.

Egyptian President Abdel Fattah el-Sisi has hosted United States Secretary of State Antony Blinken in Cairo where they discussed the ongoing crisis in the occupied Palestinian territory and Israel.

El-Sisi reiterated on Sunday his country’s stance that Israel’s bombardment of the Gaza Strip had “exceeded the right to self-defence” and amounted to collective punishment.

He added that Egypt’s priority was to end the violence and provide humanitarian assistance to the Palestinians trapped in Gaza.

Small moves in Sinai, demonstrations in Cairo
Egypt has opened up its airport in El Arish to receive international assistance for the besieged people of Gaza, with planes arriving from Jordan, Turkey and the United Arab Emirates, among others.

Combined with donations from Egypt, they have been loaded into more than 100 trucks, which are lined up in the northern Sinai Peninsula and ready to enter Gaza through the Rafah crossing. A blood donation campaign was initiated by the Egyptian government, with donation centres set up in all governorates.

After negotiations with the US and others, Egypt agreed to an exchange, whereby it would allow the exit of dual-national Palestinians trapped in the blockaded enclave into Egyptian territory in return for Israel allowing safe passage for the humanitarian aid.

However, no movement on either side of the border has taken place as on Saturday, Egypt was informed that Israel had rejected safe passage for the aid trucks.

In response, Egypt refused entry to its territory for Gaza’s dual-nationality citizens, making it clear that their exit from the Strip was contingent on Israel allowing the passage of the aid convoy into the enclave.

The exact number of Palestinian dual-nationals stuck in Rafah is not clear. According to the US government, between 500 and 600 US passport holders are thought to be trapped in Gaza.

French Foreign Minister Catherine Colonna will be visiting Cairo on Monday and is expected to discuss allowing dual nationals to leave Gaza as there are several French citizens there.
 
Licha ya mazungumzo ya kutosha na Bwana Blinken Misri wamwgoma kupokea Wakazi wapatao 600 wa Gaza wenye uraia Pacha wa Palestina-US.

Misri wamwgomea hilo wakidai kuwa bila kuruhusiwa kwa misaada ya kibinaadamu hawatafanya hivyo, lakini pia wamekataa kupokea wakimbizi wa palestina kwa madai kuwa si sawa kutimiza matakwa ya Israel kwa gharama ya mataifa mengine.

Source ni Aljazeera

Vita siyo poa,anyway tuiombee pia Ukraine

Soma zaidi:
Israel-Palestine conflict
Egypt’s tricky calculation as Israel’s assault on Gaza continues
The Egyptian government has stated its ‘rejection and denunciation of any displacement’ of Palestinians from Gaza.

Egyptian President Abdel Fattah el-Sisi has hosted United States Secretary of State Antony Blinken in Cairo where they discussed the ongoing crisis in the occupied Palestinian territory and Israel.

El-Sisi reiterated on Sunday his country’s stance that Israel’s bombardment of the Gaza Strip had “exceeded the right to self-defence” and amounted to collective punishment.

He added that Egypt’s priority was to end the violence and provide humanitarian assistance to the Palestinians trapped in Gaza.

Small moves in Sinai, demonstrations in Cairo
Egypt has opened up its airport in El Arish to receive international assistance for the besieged people of Gaza, with planes arriving from Jordan, Turkey and the United Arab Emirates, among others.

Combined with donations from Egypt, they have been loaded into more than 100 trucks, which are lined up in the northern Sinai Peninsula and ready to enter Gaza through the Rafah crossing. A blood donation campaign was initiated by the Egyptian government, with donation centres set up in all governorates.

After negotiations with the US and others, Egypt agreed to an exchange, whereby it would allow the exit of dual-national Palestinians trapped in the blockaded enclave into Egyptian territory in return for Israel allowing safe passage for the humanitarian aid.

However, no movement on either side of the border has taken place as on Saturday, Egypt was informed that Israel had rejected safe passage for the aid trucks.

In response, Egypt refused entry to its territory for Gaza’s dual-nationality citizens, making it clear that their exit from the Strip was contingent on Israel allowing the passage of the aid convoy into the enclave.

The exact number of Palestinian dual-nationals stuck in Rafah is not clear. According to the US government, between 500 and 600 US passport holders are thought to be trapped in Gaza.

French Foreign Minister Catherine Colonna will be visiting Cairo on Monday and is expected to discuss allowing dual nationals to leave Gaza as there are several French citizens there.
@Moderator
Heading isomeke

Kuhusu kupokea
 
Egypt kastuka Arabs wote walioko ardhi ya Israel wanataka kuhamishiwa Sinai, Saudi kasema atachangia pesa nyingi za miundo mbinu Marekani pia na Israel atakuwa bega kwa bega.. hii ni baada ya Kusoma Qoran na kukuta Israel ndio alipewa ardhi na Allah na hakuna neno lolote kwenye Dini ya uislam na ndani ya Koran linalosema kuna Wapalestina... ndio maana wanajiita Arabs Palestina na walivamia Israel kipindi cha Omary wakagoma kusepa... Ki Sharia katika uislam Arabs hana Chake.. zaidi ya kutafuta laatul tu
 
Egypt kastuka Arabs wote walioko ardhi ya Israel wanataka kuhamishiwa Sinai, Saudi kasema atachangia pesa nyingi za miundo mbinu Marekani pia na Israel atakuwa bega kwa bega.. hii ni baada ya Kusoma Qoran na kukuta Israel ndio alipewa ardhi na Allah na hakuna neno lolote kwenye Dini ya uislam na ndani ya Koran linalosema kuna Wapalestina... ndio maana wanajiita Arabs Palestina na walivamia Israel kipindi cha Omary wakagoma kusepa... Ki Sharia katika uislam Arabs hana Chake.. zaidi ya kutafuta laatul tu
Arab Palestina wote wanaweza kuenea huko milima ya Sinai? Kama wanaweza kuhamia, basi ni bora waende wakaunde taifa lao japo Israel hataki Palestina wawe na taifa lao kwa kuogopa kisasi.

Nasikia nchi kama Uswis ni miamba tu (sijafika), hivyo hata hao Arab Palestina wanaweza kuboresha hiyo Sinai.
 
Back
Top Bottom