Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,078
- 2,443
Safi sana - If we can not change regime via ballot boxes then we have to use people's power!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I think we need it pale bongo, kutoa mafisadi.
wewe uko nje ya nchi, unakawatu waandamane dhidi ya serikali ili itoke madarakani, acha uchizi mkuu, tunasubiri uchaguzi 2015
Tanzania wont happen because we are still eaten up by self interests. Let´s wait till the day that all the Tanzanians will be united with one voice, the day that we'll forget our political ideologies and the interests of our parties. WE NEED MENTALITY REVOLUTION FIRST.hopefully this ll happen in tanzania very soon!
Pamoja na tatizo hilo la self interest, muda unakuja ambapo.... hata hao wenye uwezo sasa... maisha yatakuwa magumu pia... just immagine kwa mfumuko huu wa bei, fikiria matokeo ya kidato cha nne, dowans yote hayo watu wanayaona.... Watu watasema imetosha na hapo ndio uprising inapotokea.Tanzania wont happen because we are still eaten up by self interests. Let´s wait till the day that all the Tanzanians will be united with one voice, the day that we'll forget our political ideologies and the interests of our parties. WE NEED MENTALITY REVOLUTION FIRST.