EFM radio wamesha lewa sifa

Kweli nimeamini ukimsifia mgema lazima tembo alitie maji, EFM sasa wamekuwa ni watu wa kutangaza singeri na jogingi kwa kuvipatia air time kubwa kuliko habari za michezo, sifa ni kitu kibaya sana.
And FYI....

EFM ndio habari ya mujini...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…