Eeh! Kumbe Lulu ni CHADEMA?

😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:
 
Kwani wewe hutaki awe Chadema,kumbuka Chadema kinadunda kotekote na sio Lulu tu wako kibao kwa umri kama wake Peoples Power
 
Mara hii tumeshasahau kwamba anafadhiliwa na Halima Mdee?
 
Sasa amekuwa sober kweli kweli maana mapombe na uzinzi umepungua kwenda mbele...na yuko saafi kabisa
 
Safi Lulu. Endeleza ya the Great!! Najua mlipendana na yaliyotokea yalitokea bila kupangwa!! It pains jamani.
 
Halima mdee ndio mfadhili wake ..
 
Looh Jamani walioko huko msimmalize huo mtoto mtamu saana anaonekana

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…