Edwin Mtei: Hamahama itaupa upinzani dola 2020

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
mtei.jpg


Ushiriki wa wabunge wa upinzani ndani ya Bunge unaonekana kuendelea kuwa finyu kutokana na hamahama, huku halmashauri zikizidi kupoteza idadi kubwa ya madiwani na wenyeviti walioingia madarakani kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Wengi wanaona hizi ni dalili nzuri kwa siasa za Tanzania hasa mustakabali wa vyama vya upinzania ambavyo hakuna shaka vimekuwa na mchango katika maendeleo ya Taifa tangu siasa za ushindani ziliporejeshwa mwaka 1992
 
Kichwa cha habari na habari yenyewe ndo hii!
 
2020 Kuna waangalizi wa kimataifa. Bado Tunahitaji mkopo na grants projects za kipaumbele SGR, Stiglas nk lazima awe mpole.
Uhalisia makusanyo ya mwezi yanatosha mishahara na sehemu madeni na kiasi miradi ya maendeleo.
 
Hizi ndoto za mchana mkiwa mmeshiba ruzuku ndizo zinafanya vyama vya siasa pinzani kubweteka. Hali ya upunzani sio nzuri kulingana na mfumo wa sasa wa Serikali hivyo hii kauli hapanaa
 
Hahaha sasa kwanini huwa mnasema mnaibiwa kura? Nimesoma habari yote na Mzee Mtei hakuna mahali ameitaja Tume yetu ya uchaguzi, hivyo ni dhahiri kwamba hamjawahi kuibiwa kura na kumbe mna uwezo wa kushinda kama mkitatua matatizo yenu kwanza badala ya kusingizia Tume yetu, sasa kelele za kusingizia Tume yetu kwamba inawaibia huwa ni za nini?
 
Back
Top Bottom