Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Mjenga nchi ni mwananchi na mbomoa nchi ni mwananchi fanya maamuzi sasa usiangalie mtu au chama sera na dira je inalikomboa taifa


Kapuku mimi
 
Naomba kuuliza wananchi WA jimbo la monduli wamkumbuke mh lowassa kwa lipi? 1. Hakuna maji tangu awe mbunge, waziri WA maji, waziri mkuu.
. 2. Barabara mbovu (za vumbi)

Je unaweza safisha sebureni wakati chumbani kunanuka?

Najua wengi mtakurupuka kutukana wakati hamjui mkazi WA monduli anataabikaje,
 
nipo nilikuwepo na nitakuwepo viva LOWASAA viva UKAWA baba angu anasema hv kwa mara ya kwanza anapigia kura upinzani mwaka huuu

Me,my mom,dad and all kinsmen were once in darkness,
Mom used to lead local CCM summons but for the first time we are seeing light!we are no longer in darkness,Lowassa have brighten our lives,viva lowassa,wherever u go my family is with u,we love u,u are always in our prayers, God chose u to lead his people
 
Naomba kuuliza wananchi WA jimbo la monduli wamkumbuke mh lowassa kwa lipi? 1. Hakuna maji tangu awe mbunge, waziri WA maji, waziri mkuu.
. 2. Barabara mbovu (za vumbi)

Je unaweza safisha sebureni wakati chumbani kunanuka?

Najua wengi mtakurupuka kutukana wakati hamjui mkazi WA monduli anataabikaje,

kila mahali tabu tu hata dar kuna sehemu kunavumbi mpaka kwenye chupi inaingia
 
Lowassa anaugua ugonjwa wa Alzheimer's, hatuwezi kuwa na rais mgonjwa. Tutampumzisha kwa kulikata jina lake tarehe 25 October.
 
Me,my mom,dad and all kinsmen were once in darkness,
Mom used to lead local CCM summons but for the first time we are seeing light!we are no longer in darkness,Lowassa have brighten our lives,viva lowassa,wherever u go my family is with u,we love u,u are always in our prayers, God chose u to lead his people

me too.
 
wakuu,huku mitaani hali ni yakushangaza! huwezi amini haters wa lowassa wanapungua kwa spidi ya ajabu! watu wanazidi kuongezeka upande wake!
wewe mwanaJF mwenzangu ambaye ulikuwa unamchukia lakini kimiujiza hujielewi na umetokea kumpenda! weka neno kwa mzee huyu!
mimi naanza!
jamani nchi inachukuliwa asubui na mapema
 
team Mzee Lowassa Rais wa awamu ya Tano mpo kimia sana
 
Ndoroooooooooooooooooooooobo hawa CCM, wametunyonya vya kutosha
 
$$$$$$$$$$$$$$$$$$kama dr muhogo tumezika sembuse sisimizi hawa. huu ni mwaka wa mabadiliko, ni mwaka wa lowasa tutaona mengi na hii bado ni trela. Watanzania tukaze buti sana lazima fisiccm ing'oke. ukisikia hii mwambie na jirani yako ccm imetenga mabilioni na ikishindwa watatumia nguvu lakini haitoboi mwaka huu, siku ya kufa nyani miti yote huteleza!!!!!

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ni lowasa tu kila kona ya nchi....ni mabadiliko tu kila kona ya nchi

Msafara wa mamba hata kenge wamo haturudi nyuma. Habari ndio hio
 
Back
Top Bottom