Edward Lowassa: Msilalamike, piga kura kuing'oa CCM

Edward Lowassa: Msilalamike, piga kura kuing'oa CCM

Zoezi la mgambo na wamachinga kariakoo limeishia wapi?

sakata la madereva wakasome limeishia wapi?

Wafanyabiashara na mashine za TRA zimeishia wapi?

Bodaboda kuingia mjini limeishia wapi?

Vyote kimya...sasa ngoja uchaguzi upite halafu CCM warudi uone moto itakuwa mara 10 ya vile...

Chagua UKAWA kwa mabadiliko....✌✌

Shost umeandika ujumbe mzuri kuliko hata hio Avatar yako!
 
Zoezi la mgambo na wamachinga kariakoo limeishia wapi?

sakata la madereva wakasome limeishia wapi?

Wafanyabiashara na mashine za TRA zimeishia wapi?

Bodaboda kuingia mjini limeishia wapi?

Vyote kimya...sasa ngoja uchaguzi upite halafu CCM warudi uone moto itakuwa mara 10 ya vile...

Chagua UKAWA kwa mabadiliko....✌✌

CCM inarudi madarakani kwa njia ipi! CCM OUT!
 
Back
Top Bottom