Mkuu Chakaza kwa hiyo kwa sasa tusikusikie tena unawaita viongozi wengine mafisadi kwa kuwa na wao bado hawajapelekwa mahakamani...Hata mimi naweza kukubaliana nawe bwana mcubic kuwa Lowasa sio msafi. Na kwa kweli kama mtu ni mhalifu hata kama ni mwanao hakuna haja ya kumtetea bali kuhakikisha sheria inafuatwa kumhukumu. Hata vitabu vya Mungu vinaruhusu sheria kufuata mkondo.
Tatizo linalonipa mashaka ni kuwa, huyu Lowassa huyu tunaambiwa ana madhambi mengi na mwenyewe kajitetea lakini mwisho kajitoa muhanga kabisa kuwa mwenye ushahidi apeleke mahakamani. Sasa jee tukiacha watu individual, kweli vyombo vyote vya ushtaki kama Polisi, TAKUKURU, DP, Tume ya maadili na nini sijui wote hawa wameshindwa kumpeleka mbele ya sheria? Tena mtu aliyekinyima chama tawala raha na kukikosanisha na watu wake wanaweza kumwangalia na makosa yake bila kumfanya lolote?
Jaribu tuu kuwaza kwa undani, vinginevyo mniambie kuwa makosa hayo ya Lowassa basi yakiwekwa hadharani yatasababisha watu/mtu wasioguswa/asiyeguswa akaathirika.
Leo miaka karibu 9 tunaimba Lowassa fisadi no action, mwisho itafika 30 hata hawa watoto ambao watakuwa watu wazima watatuona wanafiki kupindukia. Hakuna kesi basi ni msafi full stop
hata mimi nitakwambia mfuate mnyika akupe ushahidi aliosema anao juu ya lowassa.......usijifanye unaegemea upande mmoja wakati hao viongozi wao ndio walikuwa wapiga matarumbeta wakubwa juu ya hili swala,na ndio ishu iliyowapatia umaarufu........Pole sana muulizeni kikwete mbona humpeleki lowasa mahakani? Au ni kweli wewe ndio ulibariki hayo mbona hamthubutu? Acheni kukariri vihoja badala ya hoja.
lowassa ni shujaa alipo tupo.Lowassa is finished!
Kwa sasa yupo kwenye mapito ya kisiasa ambayo ameyapitia Augustino Mrema.
Mwezi uliopita Jijini Mwanza wakati wa Mkutano wa hadhara wa kumtambulisha Katibu Mkuu, Dk. Mashinji , aliwashangaza wananchi alipoanza kuwauliza kama wamemsahau. Alitegemea tena vijana watadeki barabara anayopita.
Kuna uwezekano hata udiwani utakuwa ni vigumu kuupata!
Uzuri wa sisi watanzania ni wagumu kuelewa alafu wepesi wa kusahau,jamani naomba niweke records very clear,wakati wa mrema hatukuwa na uelewa wa kisiasa kama sasa,wakati wa mrema baba wa taifa alikuwepo na alikuwa akisikilizwa sana na watanzania,kipindi hiki watanzania wanauelewa wa kupiliza,kipindi hiki CCM wote wamekuwa wezi,kipindi hiki sasa tuna social media na watu wanapata habari bila shida hata kama bunge halioneshwi live,so ni ujunga na upumbavu kumfananisha lowasa na mrema,lakini cha mwisho kwa kuwasaidia lowasa is far by far ahead of mrema kwa maswala ya kisiasa na experience kwa hiyo mfano huu hauendani kabisa,na kingine lowasa ana hela hayuko kama mchovu mrema ambaye anakuwa omba omba ili apate chochote kituLowassa is finished!
Kwa sasa yupo kwenye mapito ya kisiasa ambayo ameyapitia Augustino Mrema.
Mwezi uliopita Jijini Mwanza wakati wa Mkutano wa hadhara wa kumtambulisha Katibu Mkuu, Dk. Mashinji , aliwashangaza wananchi alipoanza kuwauliza kama wamemsahau. Alitegemea tena vijana watadeki barabara anayopita.
Kuna uwezekano hata udiwani utakuwa ni vigumu kuupata!
Hata akitua hana uzito wa kutoa kishindo tena kwani uzito wake ni sawa gunia la pamba, mwenye kishindo sasa hivi ni Magufuli tu.Bado hajatua tu huyo fisadi Lowasa? Angalieni asije kuchafua hali ya hewa hapo Dodoma
Mbona km unapanic hv! Acha kuropoka
Ushahidi aliokuwa nao mnyika na viongozi wote wa chadema LOWASA alioneshwa na kusema ni wa UONGO na kama serikali ina uhakika ni kweli APELEKWE MAHAKANI NA HUO USHAHIDI, kwa kuwa serikali imeshindwa kupeleka huko amabako ndiko haki hupatikanan sasa nani muongo jibu ni aliekimbia haki.hata mimi nitakwambia mfuate mnyika akupe ushahidi aliosema anao juu ya lowassa.......usijifanye unaegemea upande mmoja wakati hao viongozi wao ndio walikuwa wapiga matarumbeta wakubwa juu ya hili swala,na ndio ishu iliyowapatia umaarufu........
Kweli kabisa Mkuu. Amebaki na kishindo kikuu kimoja tu. Cha kuchafua hali ya hewa kama alivyofanya kule ChatoHata akitua hana uzito wa kutoa kishindo tena kwani uzito wake ni sawa gunia la pamba, mwenye kishindo sasa hivi ni Magufuli tu.
Kwa nini Lowasa alijiuzulu uwaziri mkuu?Ni kiongozi wa mapunguani ndio anaweza kusema Rich mond ni ya Lowasa, hivi una miaka mingapi? ulijua kuhusu rich mond haikuwa UMILIKI bali mMAKUBALIANO/ MKATABA uliohusu rich mond? Eti ya Lowasa? Kamuulize mwakyembe what was the reason mmiliki au makubaliano ya serikali yaliyohusu rich mond.
Jk alishasema Richmond ni ya Lowasa. Alifanya mambo kinyume na maagizo ya baraza la mawaziri.....Lowasa anahusika na ufisadi wa RichmondPole sana muulizeni kikwete mbona humpeleki lowasa mahakani? Au ni kweli wewe ndio ulibariki hayo mbona hamthubutu? Acheni kukariri vihoja badala ya hoja.
miaka yote walikuwa wapi,kuprove wrong ushahidi waliokuwa wanajidai wanao??Ushahidi aliokuwa nao mnyika na viongozi wote wa chadema LOWASA alioneshwa na kusema ni wa UONGO na kama serikali ina uhakika ni kweli APELEKWE MAHAKANI NA HUO USHAHIDI, kwa kuwa serikali imeshindwa kupeleka huko amabako ndiko haki hupatikanan sasa nani muongo jibu ni aliekimbia haki.
Lazima wangeamini kwa kuwa yale majungu yalipikwa na mawaziri na lowasa akiwa waziri wakati chadema hawaingii kwenye baraza la mawaziri, lakini baada ya kuambiwa na mtuhumiwa kuwa hawa jamaa kule ndani walinisingizia ndio na wa nje amepata ukweli maana mtuhumiwa kajisafisha anasubiri walio mchafua wampe adhabu hawathubutu.miaka yote walikuwa wapi,kuprove wrong ushahidi waliokuwa wanajidai wanao??
sitakaa ni shabikie uongo na unafiki kama huu,cha msingi baki na imani yako na matumaini yako kwa huyo unayemwamini na mimi nibaki na ninachokiamini,kwa kuwa hatuwezi kuwa sawa kimawazo na kimtazamo...
Ndani ya bunge wakati LOWASA ameyasema hayo JK alikaa kimya, JK amekuja kuyasema hayo kwenye kampeni ili kuwaaminisha watu kuwa LOWASA ni mchafu, mbona hakukana pale bungeni ambako serikali nzima ilikuwepo? JK ni mnafiki hajathubutu kuongea rich mond LOWASA akiwa ccm, amekuja kujisafisha baada ya LOWASA kutoka, any way twendeni mahakmani basi.! Tumechoshwa na tuhuma tuhuma tunatka hatia iwepo ili tujue tumeamini sicho.Jk alishasema Richmond ni ya Lowasa. Alifanya mambo kinyume na maagizo ya baraza la mawaziri.....Lowasa anahusika na ufisadi wa Richmond
Mkuu mwasu unaweza kutuonesha au kutuelezea huo ushahidi wa uongo aliokuwa nao Mnyika ama Mbowe?Ushahidi aliokuwa nao mnyika na viongozi wote wa chadema LOWASA alioneshwa na kusema ni wa UONGO na kama serikali ina uhakika ni kweli APELEKWE MAHAKANI NA HUO USHAHIDI, kwa kuwa serikali imeshindwa kupeleka huko amabako ndiko haki hupatikanan sasa nani muongo jibu ni aliekimbia haki.
kwahiyo unaprove kuwa viongozi wachadema huwa wanaongeaga kufurahisha jamii na hawanaga ushahidi wa ukweli kuthibitisha hayo wanayoyasema......asante unanipa sababu nyingine ya kutokuwa na imani na chama chakoLazima wangeamini kwa kuwa yale majungu yalipikwa na mawaziri na lowasa akiwa waziri wakati chadema hawaingii kwenye baraza la mawaziri, lakini baada ya kuambiwa na mtuhumiwa kuwa hawa jamaa kule ndani walinisingizia ndio na wa nje amepata ukweli maana mtuhumiwa kajisafisha anasubiri walio mchafua wampe adhabu hawathubutu.
Wewe ndio uulete hapa maana ndio umesema Mnyika alisema ana ushahidi.Mkuu mwasu unaweza kutuonesha au kutuelezea huo ushahidi wa uongo aliokuwa nao Mnyika ama Mbowe?
Tumia akili kwa kusoma na kuelewa maana ya habari, mzazi wako akikutuhumu kuwa mwizi ndani ya nyumba jirani atakataa bila wewe kuthibitisha asemacho mzazi wako sio kweli? Umetoka nje na kumwambia mzazi wako aseme kwa uma ulicho iba na yeye akashindwa na kujifungia ndani, jirani atakae endelea kumuamini mzazi wako lazima zitakuwa hazimtoshi.kwahiyo unaprove kuwa viongozi wachadema huwa wanaongeaga kufurahisha jamii na hawanaga ushahidi wa ukweli kuthibitisha hayo wanayoyasema......asante unanipa sababu nyingine ya kutokuwa na imani na chama chako
Mkuu mwasu kwa hiyo Lowassa kasema kwa mdomo kuwa amesingiziwa, na wewe unaamini daah......mahaba hayaLazima wangeamini kwa kuwa yale majungu yalipikwa na mawaziri na lowasa akiwa waziri wakati chadema hawaingii kwenye baraza la mawaziri, lakini baada ya kuambiwa na mtuhumiwa kuwa hawa jamaa kule ndani walinisingizia ndio na wa nje amepata ukweli maana mtuhumiwa kajisafisha anasubiri walio mchafua wampe adhabu hawathubutu.
Yes! kama ambavyo mwakyembe alisema kwa mdomo.Mkuu mwasu kwa hiyo Lowassa kasema kwa mdomo kuwa amesingiziwa, na wewe unaamini daah......mahaba haya