Edward Lowassa akumbwa na mkasa

Edward Lowassa akumbwa na mkasa

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
DSC00969.jpg
 
Kwa jinsi watu wanavyomiminika kwa wingi kwenye mikutano yake, lazima akumbwe na mikasa! Uzuri inayoitwa mikasa ndio kwanza inazidi kumpa uimara siku hadi siku.
 
Kama ndo hivyo tuu...

Na mimi nikipost magazeti ya MTanzania na MwanaHalisi kuhusu habari chafu na mbaya za CCM ntakuwa nimekosea....?

1. RAMADHANI Ighondu, afisa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), ndiye ametajwa kuwa mtekelezaji wa mkakati wa utekaji wa Dk. Steven Ulimboka, MwanaHALISI limegundua. Source Mwanahalisi.

othman_304.jpg


Chini Ya serikali ya CCM....Uonevu hautokwisha.

CCM OUT.
 
Magazeti yenu ya udaku pelekeni huko Lumumba.










LOWASA HUYO ANAKUJA NA TANZANIA MPYA.
 
Kheri kuchagua mwizi aliyezungukwa na kundi la waadilifu kuliko kuchagua muadilifu aliyezungukwa na kundi la wezi peopleeeeees power.
 
NISHAAMUA nataka kuongozwa na lowassa awe fisadi au mgonjwa poa....nimeshaamua
toka lini ccm ikaitakia mema hii nchi????
 
Mafisadi wapo sero na wengine mpo nao kwenye majukwaa....hivi zile billioni 262 magufuli alikula na nani.
 
UKAWA itisheni press conference na mtoe elimu ya kupiga kura kwa wananchi. Asiende mtu mmoja kama Mbatia bali siku hiyo jopo zima liwepo ili kuweka uzito na iwe live.

Vinginevyo, kama wadau walivyosema hapo juu, uwezekano wa dotCom, bodaboda, na wapiga kura wengine ambao hawana experience kuharibu kura kwa kuweka X kwa wagombea wengine ni mkubwa mno ukizingatia uchaguzi huu ndio wa kwanza wa aina yake kwa watanzania kujitokeza kwa maelfu kupiga kura. Hawana experience na Tume haitaki kuwaelimisha, wasaidieni.
 
Kheri kuchagua mwizi aliyezungukwa na kundi la waadilifu kuliko kuchagua muadilifu aliyezungukwa na kundi la wezi peopleeeeees power.


Hii Inawaumiza sana CCM.

Tick moja fupi kwa Lowassa UmU
 
Mi nshaamua kuongozwa na Lowasa awe mwizi cjui mgonjwa cjui nini ni nyie tu .ukweli unabaki pale pale Lowasa ndio chaguo la wengi tz
 
Kheri kuchagua mwizi aliyezungukwa na kundi la waadilifu kuliko kuchagua muadilifu aliyezungukwa na kundi la wezi peopleeeeees power.

safi sana Chief naomba niyatumie Maneno Yako kwa kuyaweka hapa ofisini Ili Yawe Yanaikumbusha Nafsi Yangu kila Mda
Ahsante Sana Chief
 
jamani huku CCM ni Presha na joto tupu, siku zinahesabika Za Kuanza kutumia Anga La Ukawa Chini Ya Brigedia Kamanda Mkakamavu Sekta Zote Mh. LOWASSA!...kuanzia siku hiyo nitaishi kwa furaha Na amani ndani ya nchi yangu, na kuzidisha mahaba kwa nchi yangu!

AHSANTE! LOWASSAAAA.....AHSANTE BABAAAA.....! WEWE NI RAISI WETU NA TUNAKUKUBALI!!
 
Back
Top Bottom