Edward Lowassa aahirisha mkutano na wanahabari

Edward Lowassa aahirisha mkutano na wanahabari

Kumbe magufuli muoga namna hii duh,yani ilikuwa leo lowasa azungumze na vijana tuingie barabarani yaani pasingetosha,serikali ya awamu ya tano ya ajabu sana.
Mtaani unga ni 2000 kwa kilo,maharage ni 3000 kwa kilo harafu majitu yaliyoshindwa kazi yanapambana na upinzani badala ya kupambana na njaa.
Mkuu utakamatwa
 
Kumbe siku hizi huko Police Central ' mtuhumiwa ' anaweza kuachiwa hata usiku mnene hivyo? Kazi ipo!
Mkuu hata mimi nimeshangaa sana na sielewi hii imeendaje!! Wengine wameshikiliwa karibu wiki nzima na tuhuma zile zile sijui inakuwaje!!
 
Kumbe magufuli muoga namna hii duh,yani ilikuwa leo lowasa azungumze na vijana tuingie barabarani yaani pasingetosha,serikali ya awamu ya tano ya ajabu sana.
Mtaani unga ni 2000 kwa kilo,maharage ni 3000 kwa kilo harafu majitu yaliyoshindwa kazi yanapambana na upinzani badala ya kupambana na njaa.
Keyboard warrior!
 
Kumbe siku hizi huko Police Central ' mtuhumiwa ' anaweza kuachiwa hata usiku mnene hivyo? Kazi ipo!


Time siyo hoja. Hata kesi mahamakani imepata kuamuliwa Saa mmoja. Haki ya Raia ni muhimu kuliko mambo ya Kanuni . By the way Police wanatoa huduma 24hrs.
 
TAARIFA YA KUAHIRISHWA MKUTANO.

Waziri Mkuu Mstaafu ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Mh Edward Lowassa ameahirisha mkutano na wanahabari aliiokusudia kuufanya leo saa saba mchana.

Taarifa zinasema hatua hiyo imekuja baada ya leo majira ya saa saba usiku kuachiliwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe aliyekuwa akishikiliwa Kituo Kikuu cha Kati Dar es Salaam.

...
Taarifa zaidi zitakujia
Hivi huyo Lowasa angelifanaya nini mbele ya vyombo vya Dola?
 
Ha ha ha MKUTANO HEWA UMEAHIRISHWA!!! Haya tumekusikia.Kudakwa MBOWE mkutano hewa unaitishwa na tamko hewa la kuahirisha mkutano hewa linatolewa.Akina LIJUAKALI wako jela LOWASA hajaitisha press conference.Watu wa kaskazini mna upendeleo wa waziwazi
wew mchochezi
 
"GENTAMYCINE, post: 19814396, member: 156632"]Kumbe siku hizi huko Police Central ' mtuhumiwa ' anaweza kuachiwa hata usiku mnene hivyo? Kazi ipo![/QUOTE]
police wakati wowote wanakuachia kama issue waliokuitia imeisha bila hatua zaidi ya kukuweka ndani kwa mahojiano zaidi au kukupeleka mahakamani.
 
Akili za kiccm bwana, yaani Lowasa ni waziri mkuu mstaafu!!!! haya maccm yameharibu bongo za vijana wetu sana!!!!
 
TAARIFA YA KUAHIRISHWA MKUTANO.

Waziri Mkuu Mstaafu ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Mh Edward Lowassa ameahirisha mkutano na wanahabari aliiokusudia kuufanya leo saa saba mchana.

Taarifa zinasema hatua hiyo imekuja baada ya leo majira ya saa saba usiku kuachiliwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe aliyekuwa akishikiliwa Kituo Kikuu cha Kati Dar es Salaam.

...
Taarifa zaidi zitakujia
Naona Polisi walivyosikia tu kuwa Lowassa anakuja wakaamua wamwachie fasta Mbowe daaaah....
 
Ha ha ha MKUTANO HEWA UMEAHIRISHWA!!! Haya tumekusikia.Kudakwa MBOWE mkutano hewa unaitishwa na tamko hewa la kuahirisha mkutano hewa linatolewa.Akina LIJUAKALI wako jela LOWASA hajaitisha press conference.Watu wa kaskazini mna upendeleo wa waziwazi
Nadhani Lowassa alitaka achimbe biti serikali na ndo maana Polisi wakaamua faasta wamwachie huru Mbowe, hapo polisi wamecheza kama Pele safi sana
 
Baba Magu nyoosha koko hzo
Hakuna duka linauza Hekima na Busara ili kuendeleza taifa hili na kizazi chake, labda shuleni tu ingawa nazo ndiyo hivyo tena Kayumba mtindo mmoja!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ha ha ha MKUTANO HEWA UMEAHIRISHWA!!! Haya tumekusikia.Kudakwa MBOWE mkutano hewa unaitishwa na tamko hewa la kuahirisha mkutano hewa linatolewa.Akina LIJUAKALI wako jela LOWASA hajaitisha press conference.Watu wa kaskazini mna upendeleo wa waziwazi
Kumfananisha mbunge na mwenyekiti wa chama alichotoka mbunge huyo ni *puuz* wa kiwango cha chuo kikuu..
 
Anataka kuwepo kwenye S01E04
Narudia tena...vita hii dhidi ya madawa ya kulevya, japo ni ngumu duniani kote, lakini hapa kwetu imefanywa kuwa ngumu zaidi baada ya kuonekana dhahiri kuwa inafanywa kwa malengo tofauti kabisa na makusudio yake....ni siasa, visasi, udhalilishaji, kuviziana, kukomoana, kutiana misukosuko, kutunishiana misuli, nk. Na yote hayo yanadhihirika hata hapa JF.

Inakatisha sana tamaa....
 
Ha ha ha MKUTANO HEWA UMEAHIRISHWA!!! Haya tumekusikia.Kudakwa MBOWE mkutano hewa unaitishwa na tamko hewa la kuahirisha mkutano hewa linatolewa.Akina LIJUAKALI wako jela LOWASA hajaitisha press conference.Watu wa kaskazini mna upendeleo wa waziwazi
Kwenye ukweli sema ukisema wakaskazini lema ni mnini??
 
TAARIFA YA KUAHIRISHWA MKUTANO.

Waziri Mkuu Mstaafu ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Mh Edward Lowassa ameahirisha mkutano na wanahabari aliiokusudia kuufanya leo saa saba mchana.

Taarifa zinasema hatua hiyo imekuja baada ya leo majira ya saa saba usiku kuachiliwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe aliyekuwa akishikiliwa Kituo Kikuu cha Kati Dar es Salaam.

...
Taarifa zaidi zitakujia


Na akiahirisha pia kwenda Msalani baada ya tumbo kuacha kumzingua pia usisahau kutujulisha!
 
Back
Top Bottom