Edo Kumwembe: Nadhani wakina Barbara wamemuweka Dejan mtegoni yeye ndo avunje mkataba ili wasimlipe

Vontec

JF-Expert Member
Nov 26, 2020
232
363
Anaandika Edo Kumwembe... ✍️

Ninachohisi ni kwamba sio kwamba huyu Mrembo na wenzake wanamtaka Dejan...nadhani wamemuweka katika mtego kwamba yeye ndiye avunje mkataba ili wasimlipe.

ndo maana wakatoa ile taarifa. Akili nzuri. Mzungu sasa avunje tu mwenyewe. Na kama ikitokea hivyo itabidi ailipe timu.

Nadhani hapo wakutane waamue aondoke bila ya mambo ya kulipana. Uwanjani? Hajaacha pengo kwa sababu hakufikia matarajio makubwa lakini binafsi naona ana kitu na positioning yake ni nzuri.

Wakati huohuo...

Jemedari akizungumza Redioni haliibua mambo yafuatayo akichambua mahojiano ya Ahmed Ali na Waandishi:

👉 Inawezekana hakukua na mawasiliano mazuri kati ya Mchezaji (Dejan) na Club (Simba), akaongelea kuhusu kutokupewa gari(kwa mujibu wa makubaliano kwenye mkataba) na hakumaliziwa sign-in, na akaponda kauli ya Ahmed Ali kwamba ilimpasa Dejan asubiri kwakua mtu kakaa miezi miwili tu.

👉 Akaendelea Jemedari. Privacy ya mchezaji haswa wa kigeni ni muhimu mno aswa akiwa nje ya kambi, kumove kutoka sehemu moja hadi nyingine na kama hana gari itabidi agharamikie usafiri kwa pesa zake mwenyewe, na mtu unakua unajihisi unakosa privacy ikizingatiwa upo nchi ya watu.

👉 Dejan anadai Sababu ya yeye kuondoka ni kwasababu wameanza simba wenyewe ku-breach mkataba na maelewano.

👉 Anaendelea Jemedari kumponda Ahmed Ali kwa kauli yake kwamba taratibu kwenye kuvunja mkataba, kwa kuhoji: Taratibu zipi zinafuatwa kwenye kuvunja mkataba!?wao wenyewe wanaelewana kwenye mkataba wao, kwahiyo mimi kwa maelezo ya Ahmed nimekuja kugundua kwamba inawezekana, kuna shida pia imetoka upande wao (Simba) kwasababu kama humpi mtu gari haswa Dejan ambaye ni wakipee atajihisi mnyonge, rangi yake sio sawa na sisi.

Sisi tumetoka huku africa yeye ametoka mbali, yeye ni rangi nyeupe, kwenye mambo mengi yeye yupo tofauti na sisi, ni tofauti ukiwa na mganda, mzambia au mtu mwingine ambao wanaweza kubahatisha maneno mawili matatu ya kiswahili akaja mganda mwenzie maybe Agent, mkabishana bishana mkaleta uswahili wenu mkaelewana, lakini huyu ni mtu tofauti, so kwa statement zake mi nadhani ilipaswa kuwa vile yeye alivyo hili kuondoa unyonge, apewa like a special treatment, Why!? kwasababu wachezaji wa nje inabidi watimiziwe vitu kama hivyo (Magari), Kwanini!? kwasababu wao (Wachezaji wa nje), kuna vitu kama security yao, ao hawawezi kupanda daladala etc.

Watapewa magari. Sasa kwa watu kama hawa (Dejan) mahitaji yao kimkataba nadhani yangeangaliwa zaidi.

👉 So kama hakuna communication hapa kati ya muajiri na muajiriwa inaweza ikatengeneza shida, Okay kuna iyo mbayo pesa kama imelipwa yote au haijalipwa yote, kama hamuwasiliani vizuri pia inaweza ikamtengenezea shida mchezaji akaona kwamba hawa jamaa vipi!! ndo maana kuna iyo kitu imezungumzwa hapo kwamba Yeye (Dejan) amesema kwamba wameanza wao Simba ku-breach contract kwahiyo yeye ameona bora aondoke.

👉 Anamalizia Jemedari...
Lakini sasa as a human being yeye (Dejan) kama mchezaji na yeye ana utaratibu ambao anaujua kwenye mkataba, wa kwamba ukitaka kuvunja mkataba unapaswa kutoa notice ya mwezi mmoja/miwili ata wao (Club) wanakupa ivyoivyo, sasa yeye kwanini aende akaandike kwenye mitandao ya kijamii!?

 
Wakati huohuo... Mzee wa kudere (Wazee wa ZaNdaaani kabisa!) kutoka wasafii

Mzee wa kudere aweka wazi sababu za mzungu kuvunja mkataba simba

Mwamba alizuiwa kuingia apartment (Sea breeze) aliyokodiwa, iyo ni baada yakurudi na timu kutoka safari mechi nje, azuiwa na walinzi na hii ni baada ya muda aliolipiwa kuisha, (alilipiwa mwezi mmoja tu), walinzi hawakutaka kuelewa wakamzuia getini na mabegi yake.

Kupiga Simu kwa viongozi nao wame-mute kimnya

Acha alie pale getini, walinzi wamekazaa tuh!

Kupiga piga simu akampata mwamba mwenzake ambaye na yeye anapambana na timu, ikabidi aelekezwe alejee kambini.

Mzee wa kudere akaendeleaa kutiririka sasa kwenye mikataba kweli from Hotelini/Apartment, then tena ghafla ghafla mpaka kambini hii kitu wapi na wapi!!

Anaendelea Mzee wa kudere!.. (Kwa masikitiko), "Mi nilichokiona, kuna wakati watu wanaweza kukuchukua kwa kutaraji kitu.. kwamba tunakuchukua uje utuonyeshe kitu.. na katika vipengele vyake, huyo bwana ana vipengele ambavyo vina vitu vingiii ambazo ni vya gharama,... sasa watu wanacho kiona na kile ulichokiandika aaah wanaona husinitanie,... eeh kwahiyo anazake Dayamondii Nnakupiga matukio! mpaka unaondoka mwenyewe, heheh unapigwa matukio tuh! mara umezuiliwa getini, mara ichi, mara pasi hupati... kupigwa matukio mpaka akaona ehehhhhhh!!, Jamani ya nini mie!!, ya nini!!!, ya ninii!!, yaniii miee!!! "

Anaendeleee... "Watu wana technic wewe!!!, wanakusubirii, uyatekenyee!!, ujaeee!!, afuuu, uone "TUMEKUBALIANA"... heheh, iyo haina malipoo!, Ukikubaliana.. heheh!"

 
Mimi ni Simba kindaki ndaki.
Nilikuwa wa kwanza kumkataa DEJAN.
Nilitofautiana sana na Jean Fumbwe Hadi Kuni block kwa sababu ya kumtetea DEJAN wakati Mimi naona ana uwezo mdogo sana.

Fumbwe akawa anajisifu kuwa ni football sciance inamkubali DEJAN kuliko Moses phili.
Na ni zaidi ya Mayele.


Nikaamua nimtukane kuwa Fumbwe ni mpumbavu akaamua Kuni Block


Huko alipo anatamani hata ardhi ipasuke. Aibu imemjaa dejan mbovu kama yikpe.
 
Wakati huohuo... Mzee wa kudere (Wazee wa ZaNdaaani kabisa!) kutoka wasafii

Mzee wa kudere aweka wazi sababu za mzungu kuvunja mkataba simba

Mwamba alizuiwa kuingia apartment (Sea breeze) aliyokodiwa, iyo ni baada yakurudi na timu kutoka safari mechi nje, azuiwa na walinzi na hii ni baada ya muda aliolipiwa kuisha, (alilipiwa mwezi mmoja tu), walinzi hawakutaka kuelewa wakamzuia getini na mabegi yake.

Kupiga Simu kwa viongozi nao wame-mute kimnya

Acha alie pale getini, walinzi wamekazaa tuh!

Kupiga piga simu akampata mwamba mwenzake ambaye na yeye anapambana na timu, ikabidi aelekezwe alejee kambini.

Mzee wa kudere akaendeleaa kutiririka sasa kwenye mikataba kweli from Hotelini/Apartment, then tena ghafla ghafla mpaka kambini hii kitu wapi na wapi!!

Anaendelea Mzee wa kudere!.. (Kwa masikitiko), "Mi nilichokiona, kuna wakati watu wanaweza kukuchukua kwa kutaraji kitu.. kwamba tunakuchukua uje utuonyeshe kitu.. na katika vipengele vyake, huyo bwana ana vipengele ambavyo vina vitu vingiii ambazo ni vya gharama,... sasa watu wanacho kiona na kile ulichokiandika aaah wanaona husinitanie,... eeh kwahiyo anazake Dayamondii Nnakupiga matukio! mpaka unaondoka mwenyewe, heheh unapigwa matukio tuh! mara umezuiliwa getini, mara ichi, mara pasi hupati... kupigwa matukio mpaka akaona ehehhhhhh!!, Jamani ya nini mie!!, ya nini!!!, ya ninii!!, yaniii miee!!! "

Anaendeleee... "Watu wana technic wewe!!!, wanakusubirii, uyatekenyee!!, ujaeee!!, afuuu, uone "TUMEKUBALIANA"... heheh, iyo haina malipoo!, Ukikubaliana.. heheh!"


Kama haya ni kweli, mpira wa kitanzania una safari ndefu sana.

Tanzania kila mahali ujanja ujanja tu, hakuna mtu smart kutoka nje anaweza ku-sustain mazingira haya, unless ni jambazi au tapeli.
 
Simba ni genge la wahuni tu, hili nalisema humu siku zote.
Siyo simba tu , hata Yanga yapo .Ndiyo Maana Senzo baada ya mkataba kumalizika mkataba wake aliona isiwe tabu akasepa zake.

Yanga hawahawa wamemsajili kambole kwa mbwembwe nyingi lakini hakucheza hata mechi Moja katolewa kwa mkopo.

Huu uhuni unaousema kwa hivi vilabu viwili vya kariakoo ni kama maji na samaki.
Leo ni simba kesho utasikia yamehamia yanga

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Hao wachambuzi wana kelele sana siku hizi..

Nionavyo, Dejan alikosea kusaini mkataba Simba SC ikiwa masharti yake kwenye mkataba yalikuwa hayajatimizwa, na bahati mbaya kwake alijiamini uwezo anao ndio maana akaona isiwe shida, ngoja akafanye kazi hayo masharti watatimiza wenyewe kutokana na uwezo wake.

Matokeo yake mpira ukamkataa uwanjani, magoli hakuna, hili ndio likawakatisha tamaa viongozi wa Simba SC kumtimizia mahitaji yake, lakini kama angekuwa anafunga magoli kama Phiri, naamini angepewa kila alichohitaji, next time ajifunze, roho nzuri yake imem-cost.
 
Wakati huohuo... Mzee wa kudere (Wazee wa ZaNdaaani kabisa!) kutoka wasafii

Mzee wa kudere aweka wazi sababu za mzungu kuvunja mkataba simba

Mwamba alizuiwa kuingia apartment (Sea breeze) aliyokodiwa, iyo ni baada yakurudi na timu kutoka safari mechi nje, azuiwa na walinzi na hii ni baada ya muda aliolipiwa kuisha, (alilipiwa mwezi mmoja tu), walinzi hawakutaka kuelewa wakamzuia getini na mabegi yake.

Kupiga Simu kwa viongozi nao wame-mute kimnya

Acha alie pale getini, walinzi wamekazaa tuh!

Kupiga piga simu akampata mwamba mwenzake ambaye na yeye anapambana na timu, ikabidi aelekezwe alejee kambini.

Mzee wa kudere akaendeleaa kutiririka sasa kwenye mikataba kweli from Hotelini/Apartment, then tena ghafla ghafla mpaka kambini hii kitu wapi na wapi!!

Anaendelea Mzee wa kudere!.. (Kwa masikitiko), "Mi nilichokiona, kuna wakati watu wanaweza kukuchukua kwa kutaraji kitu.. kwamba tunakuchukua uje utuonyeshe kitu.. na katika vipengele vyake, huyo bwana ana vipengele ambavyo vina vitu vingiii ambazo ni vya gharama,... sasa watu wanacho kiona na kile ulichokiandika aaah wanaona husinitanie,... eeh kwahiyo anazake Dayamondii Nnakupiga matukio! mpaka unaondoka mwenyewe, heheh unapigwa matukio tuh! mara umezuiliwa getini, mara ichi, mara pasi hupati... kupigwa matukio mpaka akaona ehehhhhhh!!, Jamani ya nini mie!!, ya nini!!!, ya ninii!!, yaniii miee!!! "

Anaendeleee... "Watu wana technic wewe!!!, wanakusubirii, uyatekenyee!!, ujaeee!!, afuuu, uone "TUMEKUBALIANA"... heheh, iyo haina malipoo!, Ukikubaliana.. heheh!"

Sasa huyu kwenye radio si ameajiriwa kutokana na kitengo cheke cha umbea..! Unadhani atasema nini zaidi ya kile kinachompa kula nacho ni umbea.
 
Sasa huyu kwenye radio si ameajiriwa kutokana na kitengo cheke cha umbea..! Unadhani atasema nini zaidi ya kile kinachompa kula nacho ni umbea.
Umbea!, Timu si itoke itoe official statements kuondoa hizi Taharuki!!, Kwanini wao wapo kimya badala ya kutoleaa ufafanuzi Haya mambo.

Kwanini waendeshe mambo kisiasa, na it's just football
 
Umbea!, Timu si itoke itoe official statements kuondoa hizi Taharuki!!, Kwanini wao wapo kimya badala ya kutoleaa ufafanuzi Haya mambo.

Kwanini waendeshe mambo kisiasa, na it's just football
Timu itoke eje kutoa taharuki mliojianzishia wenyewe? Bakini na taharuki yenu
 
Back
Top Bottom