Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Aliyewahi kuwa Kocha wa Yanga Princess Edna Lema atangazwa kuwa Kocha Msaidizi wa Timu ya Biashara United ya mkoani Mara akiungana na Aman Josiah na Ivo Mapunda.
Kabisa watu tutaacha kufuatilia mpira wa bongo. Ujinga wa hali ya juuUTOPOLO mtupu