Mchezaji wa Uruguay kwa jina tajwa hapo juu jana wakati a mechi ya Copa America dhidi ya Chile alipewa kadi ya pili ya njano na kumfanya apewe kadi nyekundu baada ya kumpiga kofi mchezaji wa Chile aliemtia kidole matakoni.
Hii imenikumbusha miaka ya tisini nilikuwa shule moja inaitwa kili boys, tulikuwa tunacheza na marangu sec, kuna jamaa mmoja wa kboys alimfanyia hivi hivi mchezaji mwenzake, mbaya zaidi aliyefanyiwa akawa anakimbia kukatiza uwanja huku nae jamaa anamkimbiza akiwa kamchoma dole, noma sana!
Kumbe hii ndo sababu ya RED .. Jamaa ana bahati alipigwa kofi ingekuwa Africa angepigwa ngumi, vichwa,buti na baada ya mechi unafuatwa na mob ya mtaani unashambuliwa na visu,vyupa makuti, fimbo,fito nk