Kutokana na taifa letu kuwa ICU kifwdha kwa sasa, tunamuhitaji mtu mchapakazi ambaye atazalisha zaidi. Haijalishi kama atatumia 60 baada ya kuzalisha 100, kwani 40 alobakisha itawafanyia watanzania mambo ya maana kuliko yule anaezalisha 5 halafu hatumii chochote.
Wakati wa kupembua pumba na mchele umefika sasa kwa maendeleo ya nchi yetu. Tuachane na siasa za maji taka za wanaomchafua mtu fulani aonekane mbaya mbele ya jamii eti kisa tu 2005 alichafua watu wao.
EDDO FOR 2015 PRESIDENCY
Wakati wa kupembua pumba na mchele umefika sasa kwa maendeleo ya nchi yetu. Tuachane na siasa za maji taka za wanaomchafua mtu fulani aonekane mbaya mbele ya jamii eti kisa tu 2005 alichafua watu wao.
EDDO FOR 2015 PRESIDENCY