Meek Mill
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 749
- 842
Salaam Ndugu na jamaa.
Si Mshabiki wa chama chochote ila tutengemee hali mbaya ya Kiuchumi baada ya Uchaguzi.Especially after October kinachopelekea kusema Hivi ni Sababu Ya vitu vingi ikiwa ni pamoja ya kwamba Now Mishahara ya watu especially Watoa Social services Inaongezeka Katika Hali Isiyokuwa Ya kawaida mfano. Jana mishahara Ya Polisi Imeongezeka Wenyewe Wanasema Ni allowance.Ila katik moja ya Technic especially Wakati wa Uchaguzi ni Government Ina Boost economic activity ionekane ipo fairly .Iyo Inaitwa policy Induced ambayo ni effect Kubwa sana Katika Uchumi After Election.unawaongezea Watu Mishahara Bila Rights Ya Parliament ku pass Aisee Ni maoni yangu TUJIANDAE KWA HALI MBAYA YA KIUCHUMI BAADA YA UCHAGUZI.
Si Mshabiki wa chama chochote ila tutengemee hali mbaya ya Kiuchumi baada ya Uchaguzi.Especially after October kinachopelekea kusema Hivi ni Sababu Ya vitu vingi ikiwa ni pamoja ya kwamba Now Mishahara ya watu especially Watoa Social services Inaongezeka Katika Hali Isiyokuwa Ya kawaida mfano. Jana mishahara Ya Polisi Imeongezeka Wenyewe Wanasema Ni allowance.Ila katik moja ya Technic especially Wakati wa Uchaguzi ni Government Ina Boost economic activity ionekane ipo fairly .Iyo Inaitwa policy Induced ambayo ni effect Kubwa sana Katika Uchumi After Election.unawaongezea Watu Mishahara Bila Rights Ya Parliament ku pass Aisee Ni maoni yangu TUJIANDAE KWA HALI MBAYA YA KIUCHUMI BAADA YA UCHAGUZI.