Ebu niambie unakumbuka wapi ukiona picha hii!!!

Ebu niambie unakumbuka wapi ukiona picha hii!!!

1528465_671639059526026_323614308_n.jpg
Chautundu, aisee na mimi nimekula mboko kisawasawa nilopokuwa kinda!!!
 
hapo st kayumba kabisa, nakumbuku shule ya msingi kuna mwalimu alikuwa anaitwa mzurikwao, ilikuwa full discipline na sasa watu wanakula bata.
 
Hapo nimeshapaka up.u.pu kwenye meza ya mwl.na ni wakati wa kutajana na bahati mbaya napata kura nyingi.
 
Siku nikimkuta mwalimu anamwadhibu mwanangu namna hii nambaka mbele ya kadamnasi ya shule yote. Nyambaff kabisa
 
Siku nikimkuta mwalimu anamwadhibu mwanangu namna hii nambaka mbele ya kadamnasi ya shule yote. Nyambaff kabisa

we ndo unaelea wanao kama mayai eti hawachapwi.one day u will regret.
 
Back
Top Bottom