Idimulwa Platinum Member Joined May 27, 2011 Posts 5,110 Reaction score 2,698 Oct 1, 2014 #21 poa poa
Kyokola JF-Expert Member Joined Sep 5, 2014 Posts 1,402 Reaction score 1,894 Oct 1, 2014 #22 Nadhani waliokua karibu na jamaa watakua na wao wameambukizwa na wao watakua wameambukiza wengine walio interact nao.
Nadhani waliokua karibu na jamaa watakua na wao wameambukizwa na wao watakua wameambukiza wengine walio interact nao.
Ukweli1 JF-Expert Member Joined Nov 19, 2013 Posts 550 Reaction score 333 Oct 1, 2014 #23 kadoda11 said: japo hujaweka chanzo... Click to expand... BBC News - First Ebola case diagnosed in the US
kadoda11 said: japo hujaweka chanzo... Click to expand... BBC News - First Ebola case diagnosed in the US
Sir Good JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 1,031 Reaction score 412 Oct 1, 2014 #24 miss chagga said: jamaa kasema kweli ispowaumiza wao hawatoi dawa ya kweli wanafanya mtaji Afrika Click to expand... hahahahah kwahiyo bila 'mjomba' waafrika hatujiwezi?
miss chagga said: jamaa kasema kweli ispowaumiza wao hawatoi dawa ya kweli wanafanya mtaji Afrika Click to expand... hahahahah kwahiyo bila 'mjomba' waafrika hatujiwezi?
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Oct 1, 2014 #25 Sir Good said: hahahahah kwahiyo bila 'mjomba' waafrika hatujiwezi? Click to expand... mtajiwezaje wakati wakuu wenu wanaenda kushikwa shikwa kule na kuwachekea chekea ..... ukona baba anakubali kupapaswa mjue watotot mnaliwa tayari...
Sir Good said: hahahahah kwahiyo bila 'mjomba' waafrika hatujiwezi? Click to expand... mtajiwezaje wakati wakuu wenu wanaenda kushikwa shikwa kule na kuwachekea chekea ..... ukona baba anakubali kupapaswa mjue watotot mnaliwa tayari...
M mal3x Member Joined Aug 17, 2014 Posts 6 Reaction score 2 Oct 1, 2014 #26 Ebola kama ni shuzi sasa limefika kwa mjambaji