Wakuu nimefuatilia vipindi vya clouds tv na EATV lakini naona EATV wako vizuri sana katika vipindi vyao
Clouds tv utoto ni mwingi sana
Kama juzi tu taarifa yao ya habari walisoma watoto..kwa kisingizio kuwa ilikuwa ni siku ya mtoto..Hivi mlishawahi ona kipindi muhimu kuliko vyote kama taharifa ya habari wanaendesha watoto? Hata CNN,ITV,TBC,BBC sijawahi ona bali nnavyojua mimi watoto huwa wana vipindi vyao maalum
EATV kituo bora cha burudani
Hivi unajua clouds ni anaiga vipind kutoka EATV? Eatv huwez fananisha na uchafu wa clouds... Clouds labda radio tu ndo inawapa jinaHii kali. Yaani EATV inakuwa bora kuliko Clouds TV kwasababu tu Clouds TV iliweka watoto kusoma habari siku ya watoto Afrika?! Very insuffient and weak argument indeed. Sasa kama hiyo ni sababu, mbona kuna TV stations nyingi tu hazikuweka watoto kusoma habari siku hiyo? Kwanini hukuzilinganisha hizo na Clouds badala ya EATV?
Friday Night Live ya EA TV wao CloudsTv wakaita The Weekend Chat showHivi unajua clouds ni anaiga vipind kutoka EATV? Eatv huwez fananisha na uchafu wa clouds... Clouds labda radio tu ndo inawapa jina