Gama JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 13,264 Reaction score 4,743 Feb 2, 2011 #2 Hatari kabisa, baada ya maandamano ya kumngia hosni madarakani ni zamu ya kukungoa wewe(bin bor) janvini.
Hatari kabisa, baada ya maandamano ya kumngia hosni madarakani ni zamu ya kukungoa wewe(bin bor) janvini.
BIN BOR JF-Expert Member Joined Nov 23, 2010 Posts 1,013 Reaction score 407 Feb 2, 2011 Thread starter #3 Gama said: Hatari kabisa, baada ya maandamano ya kumngia hosni madarakani ni zamu ya kukungoa wewe(bin bor) janvini. Click to expand... Kosa langu nini Gama?
Gama said: Hatari kabisa, baada ya maandamano ya kumngia hosni madarakani ni zamu ya kukungoa wewe(bin bor) janvini. Click to expand... Kosa langu nini Gama?
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 24,945 Reaction score 26,813 Feb 2, 2011 #4 Mods walikataza picha za kitimoto humu. Hata hivyo yule mdudu ni mtamu sana.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,135 Feb 3, 2011 #5 BIN BOR said: Kosa langu nini Gama? Click to expand...
Mvaa Tai JF-Expert Member Joined Aug 11, 2009 Posts 6,157 Reaction score 4,455 Feb 3, 2011 #6 Acheni kuamsha apetaiti za watu.
KIMICHIO JF-Expert Member Joined Aug 12, 2010 Posts 1,179 Reaction score 81 Feb 3, 2011 #7 ezan said: acheni kuamsha apetaiti za watu. Click to expand... kweli bana ukizingatia wengine full hangover basi balaa tupu.
ezan said: acheni kuamsha apetaiti za watu. Click to expand... kweli bana ukizingatia wengine full hangover basi balaa tupu.
MaxShimba Platinum Member Joined Apr 11, 2008 Posts 36,008 Reaction score 4,092 Feb 3, 2011 #8 <CENTER class=clrfix> </CENTER>Raha hii hapa bana
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,043 Reaction score 7,475 Feb 3, 2011 #10 MaxShimba said: <CENTER class=clrfix> </CENTER>Raha hii hapa bana Click to expand... NIPE MOBOTEL YAKO NIKURUSHIE 10K ya credit ya Usd. Fasfa......love...peace and hahahahaaaa
MaxShimba said: <CENTER class=clrfix> </CENTER>Raha hii hapa bana Click to expand... NIPE MOBOTEL YAKO NIKURUSHIE 10K ya credit ya Usd. Fasfa......love...peace and hahahahaaaa
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,043 Reaction score 7,475 Feb 3, 2011 #11 MaxShimba said: Click to expand... Haa haaaa! Kesho nam-suprise mama kayayii wangu na hii menyu.
Anko Sam JF-Expert Member Joined Jun 30, 2010 Posts 3,254 Reaction score 906 Feb 6, 2011 #12 MaxShimba said: Click to expand... Udenda unanitoka kwa kuangalia mboga ilivyo iva vizuri!
Amoeba JF-Expert Member Joined Aug 20, 2009 Posts 3,288 Reaction score 793 Feb 6, 2011 #13 Daah! nyie watu mmegusa kwenye anga zangu! Nikija huko mjini nitakuja na pigi kama watano hv, nitathroo bonge la "poko grili pati" maalum kwa ajili ya wana JF tu!...tunafanya pikniki flan na kumchoma huyu mdudu! teh teh.
Daah! nyie watu mmegusa kwenye anga zangu! Nikija huko mjini nitakuja na pigi kama watano hv, nitathroo bonge la "poko grili pati" maalum kwa ajili ya wana JF tu!...tunafanya pikniki flan na kumchoma huyu mdudu! teh teh.
beatrixmgittu Senior Member Joined Dec 21, 2010 Posts 113 Reaction score 6 Feb 6, 2011 #14 MaxShimba said: Click to expand... Mmmhhh! Mkuu ushawahi kula vibagia vya pork??