EAC to revive stalled talks on expelled Rwandans

EAC to revive stalled talks on expelled Rwandans

Hapo sipati picha murutongore, kweli ndugu zetu Watanzania ni shughuli. Eti unasema baadhi ya hao waliofukuzwa Tanzania walikua wamezaliwa humo, na wameishi zaidi ya miaka 45 na wana certificate of naturalization. Huo si unyama jameni? Mtu hata kama asili yake Marekani ila amezaliwa nchi yako na kuishi hiyo miaka yote, ukimpeleka Marekani lazima atachanganyikiwa, hata kama kuzuri kivipi.

Ndio mimi nilishakataa katakata haya mambo ya kuingiliana, siwezi ishi nchi ya watu wala kuruhusu watoto wangu wasomee huko. Nimepata fursa nyingi sana za viwanja huko Tanzania, haswa pale Kigamboni lakini siwezi thubutu aki ya nani hii noma. Ingia, piga kazi zako halafu geuza, Wahindi na Waarabu ndio huwa nawashangaa, wamefaulu kununua viwanja, kujenga na kuishi bila kujali ubaguzi wa aina yoyote ile. Lakini mweusi noma, eti Kagame na Kikwete wanakosana kidogo kwa maneno, hapo mnaanza kuwafukuza wote kisa na asili ya Rwanda.
ah, sasa wewe unawaonea huruma wanyarwanda, je wabongo halisi waliyotimuliwa utasemaje, huku wahindi na hao waarabu unaosema wanapeta? mi namuonea huruma na namuombea kwa Mungu Mh. Magufuri afanikiwe kuokoa jahazi! kwani mambo mengine yananizidi uwezo, hebu tazama...

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nzanians-mistaken-for-illegal-immigrants.html
 
"Prof. Sempebwa further contended that the expelled Rwandese were and still are bonafide citizens of an EAC member state "and therefore infringes the Treaty because they are entitled to the right of residence and the right of establishment as well as other rights within the Treaty and the Common Market Protocol of the Community".

..tatizo liko hapo kwenye hayo madai.

..mkataba wa EAC hauko juu ya sheria za Tz zinazohusu uraia na ukaazi.

..hao wanasheria wanadai Wanyarwanda na raia wengine wa nchi wanachama wa EAC wana haki ya kuingia, kutoka, na kuishi Tz vile wanavyoona inafaa na mamlaka za Tz hazina haki ya kuwazuia.

..msimamo wa Raisi Magufuli ni kwamba, anayetaka kuishi na kufanya kazi Tz, basi afuate sheria za Tz.

cc Geza Ulole, MK254, mchambawima1, Ngongo
 
JokaKuu nafikiri kabla ya kutupatia msimamo wa Raisi ingekuwa ni busara ukaanza kwa kutufahamisha sheria za Tanzania kuhusiana na hilo swala kwani ndio la muhimu zaidi, na kama zinatofautiana je ni kwenye nini haswa? NB: nchi yoyote ile utakapo kwenda, upende usipende utafwatisha sheria zao tu, hakuna jipya hapo!
 
Maswali ya msingi .... Je, kuna sheria ya nchi inayoitwa EAC? Kama hiyo sheria ipo hawa waliofukuzwa na kwenda Rwanda/Burundi hiyo right haipo huko walikokwenda? Je, ni sheria ipi ambayo inapewa kipaumbele kwenye maswala ya ukaazi? Je, sheria za Tanzania kuhusu ukazi ni batili? Hawa wanaojifanya ma-professor wa sheria wasituzingue, wapo hapo kufaidi pesa za walipa kodi wahamiaji wote haramu warudi kwao wafanye kazi na walipe kodi, hii ndio mirija ya kuwa na jumuia ambayo haina meno na sheria zake ni legelege. Tanzania hatuwezi kukubali kuwa na wananchi wa nchi za Kenya, Rwanda, Burundi, na Uganda ambao ni economic migrants ambao kwao hawawezi maisha wanakuja huku kupenda dezo. JPM sasa kashika hatamu hatutaki mchezo ni kazi tu fukuza wahamiaji wote haramu na wale wanaojifanya ma-expart wanaofanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na wazawa.
 
hivi wewe nini mbona unapenda ligi za kipumbavu? yaani kwa vile unabishana na murutongore basi lazima uwe insane!

Govt set to compensate victimised Tanzanians in Operation Kimbunga




BY SYLIVESTER DOMASA



30th October 2013


email.png

Email



printer.png

Print










nahodha-oct30-2013.jpg

Shamsi Vuai Nahodha, Minister for Defence and National Service


Government has pledged to give some ?form of compensation to Tanzanians that were mistakenly victims of the ongoing crackdown operation against illegal immigrants dubbed ?Kimbunga?.

The announcement was made yesterday in parliament by the Minister for Defence and National Service, Shamsi Vuai Nahodha who assured the House that the government is very much aware of the ?mistakes? and it will not hesitate or deter from some form of compensation.

?I agree with the legislator, I cannot directly say what the government will do, but I can guarantee him that the government will take action upon identification of people who were mistakenly netted in the operation,? he pledged responding on behalf of Prime Minister Mizengo Pinda.

The response was prompted by the leader of the Official Opposition in Parliament, Freeman Mbowe, who inquired whether the government plans on compensating Tanzanians who were mistakenly netted in operation Kimbunga.

Mbowe, the MP for Hai (Chadema), maintained that, despite good intensions, the operation was not properly organized nor effectively conducted and occasioned the violation of human rights.

??their rights were violated so will the government be ready to compensate the Tanzanians who were mistakenly affected by the operation?? he inquired. Earlier, the Home Affairs Deputy Minister, Pereira Silima, told the National Assembly that the operation is still on going and will be conducted in all districts in the country following registered success in Geita, Kagera and Kigoma regions.

The government recently took various measures to arrest illegal immigrants including the said operation kimbunga. The illegal immigrants were sought out in upcountry regions, at road blocks, through police patrols and raids on hotels.

In his official visit to Kagera Region last August, President Jakaya Kikwete formed a task force comprised of officers from the Police Force, Immigration Department, Intelligence Unit and the Tanzania People?s Defence Forces.

It was charged with organizing a special operation to ensure all illegal immigrants in Kagera, Kigoma, Simiyu and Geita regions are sent back to their home countries. This followed residents? complaints of illegal immigrants from Rwanda, Burundi and DRC committing crimes in their areas.

The President gave illegal immigrants a two -week grace period to leave the country on their own volition before the operation began and when it did, thousands were nabbed along various weapons recovered including guns and rifles.



SOURCE: THE GUARDIAN



Wewe ndie unayeleta ligi za kipumbavu, hizo ni errors zilizofanyika wakati wa ku round up ndugu zako, na wote waliokamatwa kimakosa waliachiwa before the processing stage. Either onyesha mtanzania mmoja aliyefukuzwa Tanzania kwenda Rwanda or shut up already. You have no proof just like your other arguments! Hakuna nchi hata moja duniani (Rwanda included) inayokubali kupokea Raia wasio wake unless ni wakimbizi. Ili ndugu zako wapokewe Rwanda ni lazima rwanda ijithibitishie kuwa hao ni wanyarwanda. Unataka kusemaje? kuwa wale mliowajengea nyumba na kuwapa sijui ng'ombe (your own thread) ni watanzania?
 
Wewe ndie unayeleta ligi za kipumbavu, hizo ni errors zilizofanyika wakati wa ku round up ndugu zako, na wote waliokamatwa kimakosa waliachiwa before the processing stage. Either onyesha mtanzania mmoja aliyefukuzwa Tanzania kwenda Rwanda or shut up already. You have no proof just like your other arguments! Hakuna nchi hata moja duniani (Rwanda included) inayokubali kupokea Raia wasio wake unless ni wakimbizi. Ili ndugu zako wapokewe Rwanda ni lazima rwanda ijithibitishie kuwa hao ni wanyarwanda. Unataka kusemaje? kuwa wale mliowajengea nyumba na kuwapa sijui ng'ombe (your own thread) ni watanzania?

Mkuu achana nao.Mwishowe sheria za Tanzania zitaheshimiwa Tu!! Hata Rwanda we ingia tu.hukai hata siku tatu bila kutimuliwa aisee..Hiyo ni kawaida.Tunaposema kuwa kuna uhuru wa kuishi kokote haimaanishi usifuate sheria za huko unakokwenda kuishi.Ukitaka kuishi Tanzania fuata sheria za Tanzania..kama hautaki rudi kwenu.Kama hautaki tutakurudisha kama mhamiaji haramu..Hapa kazi tu
 
"Prof. Sempebwa further contended that the expelled Rwandese were and still are bonafide citizens of an EAC member state "and therefore infringes the Treaty because they are entitled to the right of residence and the right of establishment as well as other rights within the Treaty and the Common Market Protocol of the Community".

..tatizo liko hapo kwenye hayo madai.

..mkataba wa EAC hauko juu ya sheria za Tz zinazohusu uraia na ukaazi.

..hao wanasheria wanadai Wanyarwanda na raia wengine wa nchi wanachama wa EAC wana haki ya kuingia, kutoka, na kuishi Tz vile wanavyoona inafaa na mamlaka za Tz hazina haki ya kuwazuia.

..msimamo wa Raisi Magufuli ni kwamba, anayetaka kuishi na kufanya kazi Tz, basi afuate sheria za Tz.

cc Geza Ulole, MK254, mchambawima1, Ngongo

JokaKuu Mimi nakusoma vizuri sana, kila nchi ina sheria zake na ni lazima zifuatwe na hata wageni wanaokuja. Huwezi kwenda kung'ang'ania uishi nchi ya watu bila kuzingatia sheria zao za huko, unafaa aidha ufunguliwe mashtaka au ufukuzwe. Hata Kenya tumewaruhusu wageni wengi tu, wanapiga shughuli zao kila siku na bila kuzinguliwa, lakini wakipinda kidogo huwa wanajipata mashakani.

Lakini pamoja na hayo, huoni kuna makosa yalitendeka kwa kuwafukuza watu waliozaliwa Tanzania na kuishi zaidi ya miaka arubaini. Jameni mtu kama huyo hata kama asili yake Marekani, lazima utakua unamchanganya kabisa na atang'ang'ania kubaki hata kama kwao ni nchi ya maziwa na asali.
 
JokaKuu Mimi nakusoma vizuri sana, kila nchi ina sheria zake na ni lazima zifuatwe na hata wageni wanaokuja. Huwezi kwenda kung'ang'ania uishi nchi ya watu bila kuzingatia sheria zao za huko, unafaa aidha ufunguliwe mashtaka au ufukuzwe. Hata Kenya tumewaruhusu wageni wengi tu, wanapiga shughuli zao kila siku na bila kuzinguliwa, lakini wakipinda kidogo huwa wanajipata mashakani.

Lakini pamoja na hayo, huoni kuna makosa yalitendeka kwa kuwafukuza watu waliozaliwa Tanzania na kuishi zaidi ya miaka arubaini. Jameni mtu kama huyo hata kama asili yake Marekani, lazima utakua unamchanganya kabisa na atang'ang'ania kubaki hata kama kwao ni nchi ya maziwa na asali.
Pamoja mkuu,ulichosema ni sahihi mkuu,kuzaliwa hapa kuishi hapa nk kama hukuomba uraia na ukakubaliwa hakukufanyi uwe raia. Siku wakifanya mambo yao watakutoa tu.
 
according to EAC treaty people have the right to live anywhere in east africa? really?

hakuna hiyo kitu, pamoja na kwamba nchi za eac lakini kwenye mambo ya uraia kila nchi ina sheria zake. Raia yeyote ambaye sio mtanzania lazima afuate sheria za kukaa nchini kwa maana ya kibali cha kuishi. kuwa kwenye shirikisho hakumaanishi kunaruhusu wanyarwandwa wazurure na waishi kwenye nchi za wengine bila utaratibu.
Na kwanini wasikae nchini kwao kuna nn??
 
Back
Top Bottom