E-Citizen Scam? Ksh.6.3B yatoweka – Who is Fooling Kenyans?

E-Citizen Scam? Ksh.6.3B yatoweka – Who is Fooling Kenyans?

OwadeKuya

Senior Member
Joined
Jan 28, 2026
Posts
152
Reaction score
162
Members wa Public Accounts Committee wameweka red flag baada ya kubainika kuwa Ksh.6.3 billion ilidivertiwa kwa private account bila approval ya serikali.

Auditor General alisema account hii haikuwa kwenye list ya Treasury, na bank statements hazikupatikana kwa audit. Ksh.68.7M + USD 48M — imepotea?
Treasury PS Chris Kiptoo anasema money imechukuliwa, lakini maswali bado yapo:

  • Malipo kwa Goldrock Ltd ya Ksh.127.8M yalitokeaje?
  • PSPs zote zilikuwa licensed kutoka 2014?
  • Kwa nini Auditor General alipigwa deny access kwenye security na personal data za e-Citizen?

PAC sasa wamewaleta Pesaflow Ltd, Olive Tree Media, Webmasters Ltd, Electronic Citizen Solutions, Goldrock Ltd, na wengine wote wanaohusiana.

Jamii Forums, tuambiane:
Je, tunatumia e-Citizen bila worry?
Hii ni scam moja tu au ni tip of the iceberg?
SOURCE: CITIZENDIGITAL
 
Back
Top Bottom