Dzm traffic lights hacking.

Dzm traffic lights hacking.

Wickax

Member
Joined
Mar 15, 2014
Posts
8
Reaction score
0
Kunajnc ya kuhack traffic lights dzm...kwa software flan....its somhow complecated vjana. Bt ni PM 4 mor detailz
 
Kunajnc ya kuhack traffic lights dzm...kwa software flan....its somhow complecated vjana. Bt ni PM 4 mor detailz

We jamaa muongo tu unadhani za dar ni kama za marekani ambapo huwa zinakua controlled in one place ehh?

What is hacking kwa maneno yako mwenyewe bila ku google wala nini ndo ntajua kama unafaham nini unamaanisha eti ni pm kwa kazi gani...

Sory sinaga tabia ya kucomment kihivo lakini umezidisha utoto
 
Ungekuja na thread inayohusu namna ipi y kuboresha traffic light zetu...tutoke kwnye analojia twend kidijitar ambazo zitakuwa zinaongozwa kwa kutumia computer systems.

Subiri BRT ikianza kuoperate kutakuwa na traffic lights unazotaka kuhack.
 
kwa uelewa wangu zile traffc light zimekuwa programmed hakun central system ambayo wanaimonitor n kuweza kuoperate kama nchi zingine...kama hiyo hackin inawezekana toa mchanganuo kwanza huo then watu tukion inawezekan tu ku-pm for more details.....bt mhh
 
.





Acheni kuponda tu bila facts! Za msingi!
Mnapaswa kumuelekeza zina operate vip !
Kwani hacking ya hizo taa imeanza leo?

Sema tu hizi za kwetu ni local sana !
Mbona jamaa wali hack matangazo ya barabarani yakawa yanaonesha picha ya snowden!
badili avatar yako tafadhari
 
.





Acheni kuponda tu bila facts! Za msingi!
Mnapaswa kumuelekeza zina operate vip !
Kwani hacking ya hizo taa imeanza leo?

Sema tu hizi za kwetu ni local sana !
Mbona jamaa wali hack matangazo ya barabarani yakawa yanaonesha picha ya snowden!


HA HA HA
tumeponda bila fact can u give us that fact????

kwanini pm

tuwekee hapa tuone
 
.
Ditto conversat I've already explain ! Sis hah



You've mistaken ! I guess

:closed_2:

naona hatujaelewa tunataka aweke huo mchanganuo hapa jinsi ya kuhack hizo taa za barabarani....hatutaki mambo ya PM boss
 
Mlioponda wote mabwege nyie... all
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom