DW swahili

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,773
Reaction score
40,444
Wabunge watatu wa Tanzania, Zitto Kabwe wa Kigoma mjini Godbless Lema wa Arusha Mjini na Mchungaji Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini wanadai kwamba Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai anaendeshwa na Serikali ya Rais John Magufuli, madai hayo yameibua cheche mitandaoni. Mchora Katuni Said Michael, kaitoa taswira hiyo, wewe waonaje?
 

Attachments

  • FB_IMG_1505748850659.jpg
    45.6 KB · Views: 85
Huyo 'wakudata' anywe maji mengi, soon atapimwa mkojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…