DW swahili

DW swahili

Troublemaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,809
Reaction score
40,560
Wabunge watatu wa Tanzania, Zitto Kabwe wa Kigoma mjini Godbless Lema wa Arusha Mjini na Mchungaji Peter Msigwa mbunge wa Iringa mjini wanadai kwamba Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai anaendeshwa na Serikali ya Rais John Magufuli, madai hayo yameibua cheche mitandaoni. Mchora Katuni Said Michael, kaitoa taswira hiyo, wewe waonaje?
 

Attachments

  • FB_IMG_1505748850659.jpg
    FB_IMG_1505748850659.jpg
    45.6 KB · Views: 87
Huyo 'wakudata' anywe maji mengi, soon atapimwa mkojo
 
Back
Top Bottom