Kachoka sana, viungo vyake vya mwil vilikosa ushirikiano yaani mdomo unatamka hivi akili iko kule. Na nafsi yake inamsuta. Kiti hiki nimekipigania kwa jasho na damu. Uso umejaa haya hata kutizama wasikilizaji hakuweza.
Huyu hawezi kutoa tume huru wala Katiba kwa mambo ambayo amefanya akiwa madarakani anaweza kutupwa jela akitoka madarakani Nguvu ya Umma na GenZ tu push ndo tunaweza kupata katiba mpya