Duu jamaa awakandia wadada wa kiafrika

Los santos

JF-Expert Member
Jan 14, 2021
964
2,042
Jamaa awalipua kinadada wa Kiafrika katika mahusiano

JAMAA - "Stanley .....fact kabsa. Kiukweli wanawake wengi wamepandikizwa fikra mbovu na za kizamani na za kitumwa sana Kwamba wao wawe ni watu wa kupewa tu na wakuomba tu. Wasiwe watu wa kubeba majukum yao binafsi ya maisha yao. Hvyo imelemaza vichwa vyao wakajikuta sio watu wakijipambania na kudhani majukumu ya maisha yao sio yao ni ya mtu mwingine(mwanaume)

Wakati majukumu ya maisha yao ni ya wazazi wao na wao wenyewe wala sio ya mwanaume wala mtu yeyote. Huu up4mbavu ambao umepandikizwa kwa wanawake wa Kitanzania Umeitafuna sana Africa mpaka leo

Africa wamekuwa nyuma kwenye kila aspect ya kimaisha, sio uongozi, sio utajiri, sio elimu, sio sayansi, sio michezo coz wamefundshwa kulemaa, wamefundshwa ujinga.

wamefundishwa kuwa majukumu ya maisha yao [ya mwanamke] sio yao, Na hii ndo inayowafanya mpaka leo wanakuwa mizigo kwenye jamii, Ni pigo kubwaa sana

Mie binafsi siamin maswal ya mahusiano na penz nafanya tu s3x basi. Kwa mtu yeyote ambae unataka ufanye mahusiano katu usijihangaishe ukawa na demu wa kiafrika Kwa 100%

Ni either kama, Unataka kuleta hasara na mzigo nyumban kwako, demu wa kiafrica wengi wao zaid ya 99% ni mizigo na hawana faida wala hawachangii chochote zaidi ya ku offer papuchi

Ni bora uwe na ng'ombe..Unaweza faidi nyama kama chakula Kuliko uwe na mwanamke wa kia africa ni hasara kubwaa mnoo"
 
Jamaa awalipua kinadada wa Kiafrika katika mahusiano

JAMAA - "Stanley .....fact kabsa. Kiukweli wanawake wengi wamepandikizwa fikra mbovu na za kizamani na za kitumwa sana Kwamba wao wawe ni watu wa kupewa tu na wakuomba tu. Wasiwe watu wa kubeba majukum yao binafsi ya maisha yao. Hvyo imelemaza vichwa vyao wakajikuta sio watu wakijipambania na kudhani majukumu ya maisha yao sio yao ni ya mtu mwingine(mwanaume)

Wakati majukumu ya maisha yao ni ya wazazi wao na wao wenyewe wala sio ya mwanaume wala mtu yeyote. Huu up4mbavu ambao umepandikizwa kwa wanawake wa Kitanzania Umeitafuna sana Africa mpaka leo

Africa wamekuwa nyuma kwenye kila aspect ya kimaisha, sio uongozi, sio utajiri, sio elimu, sio sayansi, sio michezo coz wamefundshwa kulemaa, wamefundshwa ujinga.

wamefundishwa kuwa majukumu ya maisha yao [ya mwanamke] sio yao, Na hii ndo inayowafanya mpaka leo wanakuwa mizigo kwenye jamii, Ni pigo kubwaa sana

Mie binafsi siamin maswal ya mahusiano na penz nafanya tu s3x basi. Kwa mtu yeyote ambae unataka ufanye mahusiano katu usijihangaishe ukawa na demu wa kiafrika Kwa 100%

Ni either kama, Unataka kuleta hasara na mzigo nyumban kwako, demu wa kiafrica wengi wao zaid ya 99% ni mizigo na hawana faida wala hawachangii chochote zaidi ya ku offer papuchi

Ni bora uwe na ng'ombe..Unaweza faidi nyama kama chakula Kuliko uwe na mwanamke wa kia africa ni hasara kubwaa mnoo"
Hii nayo isije ikawa ni MISOGYNISTIC.....

#Maisha Ni Mizani
 
Wanawake wana thaman sanaa kama hujui thamani ya mwanamke kuzaliwa upyaa
 
Jamaa awalipua kinadada wa Kiafrika katika mahusiano

JAMAA - "Stanley .....fact kabsa. Kiukweli wanawake wengi wamepandikizwa fikra mbovu na za kizamani na za kitumwa sana Kwamba wao wawe ni watu wa kupewa tu na wakuomba tu. Wasiwe watu wa kubeba majukum yao binafsi ya maisha yao. Hvyo imelemaza vichwa vyao wakajikuta sio watu wakijipambania na kudhani majukumu ya maisha yao sio yao ni ya mtu mwingine(mwanaume)

Wakati majukumu ya maisha yao ni ya wazazi wao na wao wenyewe wala sio ya mwanaume wala mtu yeyote. Huu up4mbavu ambao umepandikizwa kwa wanawake wa Kitanzania Umeitafuna sana Africa mpaka leo

Africa wamekuwa nyuma kwenye kila aspect ya kimaisha, sio uongozi, sio utajiri, sio elimu, sio sayansi, sio michezo coz wamefundshwa kulemaa, wamefundshwa ujinga.

wamefundishwa kuwa majukumu ya maisha yao [ya mwanamke] sio yao, Na hii ndo inayowafanya mpaka leo wanakuwa mizigo kwenye jamii, Ni pigo kubwaa sana

Mie binafsi siamin maswal ya mahusiano na penz nafanya tu s3x basi. Kwa mtu yeyote ambae unataka ufanye mahusiano katu usijihangaishe ukawa na demu wa kiafrika Kwa 100%

Ni either kama, Unataka kuleta hasara na mzigo nyumban kwako, demu wa kiafrica wengi wao zaid ya 99% ni mizigo na hawana faida wala hawachangii chochote zaidi ya ku offer papuchi

Ni bora uwe na ng'ombe..Unaweza faidi nyama kama chakula Kuliko uwe na mwanamke wa kia africa ni hasara kubwaa mnoo"
Ushauri wa buree!!! Tafuta pesa wewe, kila mahali ina mila na desturi zake acha kujifananisha na ulaya tamaduni zao hazilungan na zetu, hao unaosema wajitegemee hawajapata elimu, hawana kaz , hawana exposure na yote ni kwa sababu ya mfumo dume! Mm naufurahia maana ndio umamfanya mwanaume aheshimike mpaka leo, nenda ulaya uone wanaume wanavyofanywa na wanawake kama wajinga, kisa 50/50 huu upuuzi uishe, once ukijitambua kamamwanaume shart utoee sio kupokea ty,
 
Jamaa awalipua kinadada wa Kiafrika katika mahusiano

JAMAA - "Stanley .....fact kabsa. Kiukweli wanawake wengi wamepandikizwa fikra mbovu na za kizamani na za kitumwa sana Kwamba wao wawe ni watu wa kupewa tu na wakuomba tu. Wasiwe watu wa kubeba majukum yao binafsi ya maisha yao. Hvyo imelemaza vichwa vyao wakajikuta sio watu wakijipambania na kudhani majukumu ya maisha yao sio yao ni ya mtu mwingine(mwanaume)

Wakati majukumu ya maisha yao ni ya wazazi wao na wao wenyewe wala sio ya mwanaume wala mtu yeyote. Huu up4mbavu ambao umepandikizwa kwa wanawake wa Kitanzania Umeitafuna sana Africa mpaka leo

Africa wamekuwa nyuma kwenye kila aspect ya kimaisha, sio uongozi, sio utajiri, sio elimu, sio sayansi, sio michezo coz wamefundshwa kulemaa, wamefundshwa ujinga.

wamefundishwa kuwa majukumu ya maisha yao [ya mwanamke] sio yao, Na hii ndo inayowafanya mpaka leo wanakuwa mizigo kwenye jamii, Ni pigo kubwaa sana

Mie binafsi siamin maswal ya mahusiano na penz nafanya tu s3x basi. Kwa mtu yeyote ambae unataka ufanye mahusiano katu usijihangaishe ukawa na demu wa kiafrika Kwa 100%

Ni either kama, Unataka kuleta hasara na mzigo nyumban kwako, demu wa kiafrica wengi wao zaid ya 99% ni mizigo na hawana faida wala hawachangii chochote zaidi ya ku offer papuchi

Ni bora uwe na ng'ombe..Unaweza faidi nyama kama chakula Kuliko uwe na mwanamke wa kia africa ni hasara kubwaa mnoo"
Babu yangu alioa wanawake 8,na kila mke watoto kumi,alilima mashamba,akafuga Sana, alikuwa kama mfalme kijijini, kila mke alipewa nyumba na shamba, ekari kama 4,kazi ya babu ilikuwa kuhakikisha mazao yapo vzr, mashamba yanalimwa vzr na vibarua. Watoto wote waliperekwa shule,
Kwa mfumo wetu Afrika, Mtoto wa kike, mpaka miaka ya juzi tu, kuna jamii hazimpi nafasi na fulsa sawa kama wa kiume, kwa namna moja, lazima Hari yake ya uchumi haiwezi kuwa Bora,
Mtoto wa kiume, ndio kichwa, inatakiwa utafute, utunze mkeo,watoto, sio kutegemea mali ya mke,
Acheni uzungu,
Tatizo sasa hv, sio kuwa wanawake, hawasaidii wanaume zao, ni kwamba, kwa wanaume fulsa za Ku tengeneza pesa na ukwasi(kama babu yangu), sasa hv zimepungua Sana, vidume havina pesa, vinakuwa na hasira na mabinti!
Hapo ni kupiga kuchemka, adui wenu sio mtoto wa kike na utegemezi wake. Shida ni uchumi duni, michongo ya kupiga pesa haipo ili uweze kumtunza mchumba!
Maisha yanakuwa magumu mpaka vidume nao wanataka walelewe!
 
Jamaa awalipua kinadada wa Kiafrika katika mahusiano

JAMAA - "Stanley .....fact kabsa. Kiukweli wanawake wengi wamepandikizwa fikra mbovu na za kizamani na za kitumwa sana Kwamba wao wawe ni watu wa kupewa tu na wakuomba tu. Wasiwe watu wa kubeba majukum yao binafsi ya maisha yao. Hvyo imelemaza vichwa vyao wakajikuta sio watu wakijipambania na kudhani majukumu ya maisha yao sio yao ni ya mtu mwingine(mwanaume)

Wakati majukumu ya maisha yao ni ya wazazi wao na wao wenyewe wala sio ya mwanaume wala mtu yeyote. Huu up4mbavu ambao umepandikizwa kwa wanawake wa Kitanzania Umeitafuna sana Africa mpaka leo

Africa wamekuwa nyuma kwenye kila aspect ya kimaisha, sio uongozi, sio utajiri, sio elimu, sio sayansi, sio michezo coz wamefundshwa kulemaa, wamefundshwa ujinga.

wamefundishwa kuwa majukumu ya maisha yao [ya mwanamke] sio yao, Na hii ndo inayowafanya mpaka leo wanakuwa mizigo kwenye jamii, Ni pigo kubwaa sana

Mie binafsi siamin maswal ya mahusiano na penz nafanya tu s3x basi. Kwa mtu yeyote ambae unataka ufanye mahusiano katu usijihangaishe ukawa na demu wa kiafrika Kwa 100%

Ni either kama, Unataka kuleta hasara na mzigo nyumban kwako, demu wa kiafrica wengi wao zaid ya 99% ni mizigo na hawana faida wala hawachangii chochote zaidi ya ku offer papuchi

Ni bora uwe na ng'ombe..Unaweza faidi nyama kama chakula Kuliko uwe na mwanamke wa kia africa ni hasara kubwaa mnoo"
Sidhani kama anajitambua na zinamtosha! Wanawake hutembea na bit za wanaume.. Bit utakayoingia nayo ndio atacheza nayo
Ukijishusha ukaonesha upendo, kujali, uaminifu,heshima na maono chanya utamfaidi! Sasa fanya kinyume chake! Kumbuka nao ni binadamu wana hisia na wana utashi..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom