Kipindi cha miaka ya nyuma UN GENERAL ASSEMBLY ILIKUA ni kasheshe kweli kweli manake walikua wanaingia watu watata kweli...Mara anaingia Ahmed Nejjad anapiga kitu cha moto...kidogo anaingia kamanda Al Ghadaf mara Chavez mara Bob Mgabe sasa hivi pamepoaaaa....sasa huyu jembe kichaa Durtete ndio alikua anakuja kuziba...nae aseme tu ukweli katishwa na US aaidanganye Mungu kamtokea kwann asimtokee amuzuie kuua wauza dawa?