Duterte amuiga Magufuli

iGodmanhustler

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
609
Reaction score
343
Raisi wa Uphilipino ambae nae tayari wameanza kumuita Dikteta baada yakupambana na wauza madawa yakulevya kwa kasi. Ametoa onyo kwa mashirika yanayo chimba madini nchini mwake, hasa kuhusu uchafuzi wa mazingira na kuahidi kuwatoza kodi zaidi kwa kutoa kauli ya 'I will tax you to death'. Ameenda mbali zaidi kwa kuanzisha mpango wakupiga 'stop' usafirishajI wa makinikia kama ilivyo kwa Tanzania kwa sasa. Sekta ya madini nchini humo inachangia 1% tuu ya pato la taifa japokua ndio nchi inayoongoza kwa madini ya Nickel.
More at
Philippines' Duterte warns miners: 'I will tax you to death'
 
huyo raisi wa philipines ameanza kufanya hivyo tangu magu hajawa raisi,zaidi ya miaka miwili ,nchi hii hamna cha kuiga,mambo ya kimataifa tunadili nayo kienyeji enyeji,tutakuja kupata aibu na record mbaya mwishoni
 
huyo raisi wa philipines ameanza kufanya hivyo tangu magu hajawa raisi,zaidi ya miaka miwili ,nchi hii hamna cha kuiga,mambo ya kimataifa tunadili nayo kienyeji enyeji,tutakuja kupata aibu na record mbaya mwishoni
Ameanza kufanya Nini? Wakati hata bado ajaanza. Read between the lines

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…