Raisi wa Uphilipino ambae nae tayari wameanza kumuita Dikteta baada yakupambana na wauza madawa yakulevya kwa kasi. Ametoa onyo kwa mashirika yanayo chimba madini nchini mwake, hasa kuhusu uchafuzi wa mazingira na kuahidi kuwatoza kodi zaidi kwa kutoa kauli ya 'I will tax you to death'. Ameenda mbali zaidi kwa kuanzisha mpango wakupiga 'stop' usafirishajI wa makinikia kama ilivyo kwa Tanzania kwa sasa. Sekta ya madini nchini humo inachangia 1% tuu ya pato la taifa japokua ndio nchi inayoongoza kwa madini ya Nickel.
More at Philippines' Duterte warns miners: 'I will tax you to death'
huyo raisi wa philipines ameanza kufanya hivyo tangu magu hajawa raisi,zaidi ya miaka miwili ,nchi hii hamna cha kuiga,mambo ya kimataifa tunadili nayo kienyeji enyeji,tutakuja kupata aibu na record mbaya mwishoni
huyo raisi wa philipines ameanza kufanya hivyo tangu magu hajawa raisi,zaidi ya miaka miwili ,nchi hii hamna cha kuiga,mambo ya kimataifa tunadili nayo kienyeji enyeji,tutakuja kupata aibu na record mbaya mwishoni