si unajua kijana ana maujanja ya mtu mzima R.Kely....mm nimependa video zake,,dogo katengeneza video mbili wimbo moja ni nzuri balaa..hope umeziona zote
sijenda mbali hata chembe...hiyo ni kwa mujibu wa mmoja wa watu wake wa karibu,nami nilidhani nimetaniwa ila baada kuona aina ya uchezaji wake nikaanza kuamini,labda ni tofauti na nilivyoelezwa!!!
sijenda mbali hata chembe...hiyo ni kwa mujibu wa mmoja wa watu wake wa karibu,nami nilidhani nimetaniwa ila baada kuona aina ya uchezaji wake nikaanza kuamini,labda ni tofauti na nilivyoelezwa!!!