Durban ni Jehanamu ya Africa

Ng'wanapagi

JF-Expert Member
Sep 18, 2013
9,116
8,652
Unaweza ukafikiri na kukufuru kuwa labda mungu ni mwoga kwa binadamu wake aliowaumba, lakini mwishowe utakuja kupata jibu kuwa uhuru ukipata kiasi, ukasahau mila na desturi zako na baadae ikatokea nchi iliyoingia ubia na nchi za kishezi za Magharibi hatima yake ni hii.

UKIWA SOUTH AFRICA
(A) Usimtukane shoga ama msagaji kwani utaishia jela au faini
(B) Wasagaji na mashoga katika hii nchi wanatambuliwa na kupata stahiki zao kama wewe mtanzania mwezangu kisa tu Africa ya Kusini isiwekewe vikwazo na wakoloni wao (Wazungu)
(C) Kutongozwa na shoga huku usichukulie bifu wewe mwambie tu tena sio kwa ukali.......am not in that status buddy ukimwambia kwa ukali mara atakuitia polisi kuwa umemdhalilisha!!!

NB: Waafrika tuna laana na naungana na Mseveni na naamini hata Magufuli hata ruhusa Upuuzi huu nchini kwetu.

Mungu nilindie mtoto na wadogo zangu na hii aibu
8c04db77b4e93719899ca817c5c9976c.jpg

0dd5563c52be24970b61810c9d686bfa.jpg
 
Unaweza ukafikiri na kukufuru kuwa labda mungu ni mwoga kwa binadamu wake aliowaumba, lakini mwishowe utakuja kupata jibu kuwa uhuru ukipata kiasi, ukasahau mila na desturi zako na baadae ikatokea nchi iliyoingia ubia na nchi za kishezi za Magharibi hatima yake ni hii.

UKIWA SOUTH AFRICA
(A) Usimtukane shoga ama msagaji kwani utaishia jela au faini
(B) Wasagaji na mashoga katika hii nchi wanatambuliwa na kupata stahiki zao kama wewe mtanzania mwezangu kisa tu Africa ya Kusini isiwekewe vikwazo na wakoloni wao (Wazungu)
(C) Kutongozwa na shoga huku usichukulie bifu wewe mwambie tu tena sio kwa ukali.......am not in that status buddy ukimwambia kwa ukali mara atakuitia polisi kuwa umemdhalilisha!!!

NB: Waafrika tuna laana na naungana na Mseveni na naamini hata Magufuli hata ruhusa Upuuzi huu nchini kwetu.

Mungu nilindie mtoto na wadogo zangu na hii aibu
8c04db77b4e93719899ca817c5c9976c.jpg
Hilo li khosa ningelipakua bila kilainishi yan likitoka hapo linaacha uchokocho mda huo huo
 
Kwa hiyo laana yako imeshatoka uarabuni na sasa imehamia Durban ? Kesho itakuwa wapi ?
Wewe endelea tu kuuza kwa siri lkn siku Kigwagala amekuweka mikononi mwake utajuta.
6aec8e9977d1783b30163a0265936a56.jpg
92deb40abae179c44f5831025fc5142b.jpg

Kama utakuwa na akili basi pitia comment ya Mtanzania mwezako hiyo kuhusu huyo binti asiye na kosa kuuwawa na ndugu zako huko Uarabuni
 
dah aibu karibu nitapike ni hili tu wazungu wamechemka na hili tu ISIS Wako sawa kuwarusha maghotofani. Big up ISIS
 
dah aibu karibu nitapike ni hili tu wazungu wamechemka na hili tu ISIS Wako sawa kuwarusha maghotofani. Big up ISIS
Kuna baadhi ya Sheria za wezetu nazikubali kabisa. Hata Ukiangalia hii picha yaani hawana habari utafikiri ni jambo zuri ama la kufurahisha. Naamini Tanzania hatujafikia Upuuzi kama, sifikirii kama ukimvunja hata kiuno unaweza kwenda kutubu eti umefanya dhambi. Ujinga wa hali ya juu ndugu kwa hawa wezetu huku
 
Unaweza ukafikiri na kukufuru kuwa labda mungu ni mwoga kwa binadamu wake aliowaumba, lakini mwishowe utakuja kupata jibu kuwa uhuru ukipata kiasi, ukasahau mila na desturi zako na baadae ikatokea nchi iliyoingia ubia na nchi za kishezi za Magharibi hatima yake ni hii.

UKIWA SOUTH AFRICA
(A) Usimtukane shoga ama msagaji kwani utaishia jela au faini
(B) Wasagaji na mashoga katika hii nchi wanatambuliwa na kupata stahiki zao kama wewe mtanzania mwezangu kisa tu Africa ya Kusini isiwekewe vikwazo na wakoloni wao (Wazungu)
(C) Kutongozwa na shoga huku usichukulie bifu wewe mwambie tu tena sio kwa ukali.......am not in that status buddy ukimwambia kwa ukali mara atakuitia polisi kuwa umemdhalilisha!!!

NB: Waafrika tuna laana na naungana na Mseveni na naamini hata Magufuli hata ruhusa Upuuzi huu nchini kwetu.

Mungu nilindie mtoto na wadogo zangu na hii aibu
8c04db77b4e93719899ca817c5c9976c.jpg
Shida ni malezi tu.

Nakumbuka vizuri siku ya kwanza mama ananipeleka International School. Alinikalisha chini nakuniambia kwamba, shule za kimataifa kuna watoto wa Kila taifa, wengine kwao ushoga ni kawaida sana. Akaniambia mtu asikuambie geuka nikufanyie nyuma. Kwani mwanaume hafanywi na mwanaume mwenzake. Mwisho akamalizia nikisia umekuwa na hizo tabia chafu nitakuua mwenyewe. That was my mom words.

Kipindi hicho hata sex sijui. Lakini nilimuelewa. Kwani hizi shule za International wanafunzo wapo free sana. Sijui shule za NECTA.

I am not against homosexuals but sitaki mtoto wangu awe hivyo.

Anyway, us Africans inabidi tukaze sana. Since tunafata fashion. Whether you like it or not, its coming. Hatuna tabia ya kulinda utamaduni. Kitu kipya kikija tunafata.

-callmeGhost
 
Shida ni malezi tu.

Nakumbuka vizuri siku ya kwanza mama ananipeleka International School. Alinikalisha chini nakuniambia kwamba, shule za kimataifa kuna watoto wa Kila taifa, wengine kwao ushoga ni kawaida sana. Akaniambia mtu asikuambie geuka nikufanyie nyuma. Kwani mwanaume hafanywi na mwanaume mwenzake. Mwisho akamalizia nikisia umekuwa na hizo tabia chafu nitakuua mwenyewe. That was my mom words.

Kipindi hicho hata sex sijui. Lakini nilimuelewa. Kwani hizi shule za International wanafunzo wapo free sana. Sijui shule za NECTA.

I am not against homosexuals but sitaki mtoto wangu awe hivyo.

Anyway, us Africans inabidi tukaze sana. Since tunafata fashion. Whether you like it or not, its coming. Hatuna tabia ya kulinda utamaduni. Kitu kipya kikija tunafata.

-callmeGhost
Umeongea kama mzazi wa Kiafrika ila sijapenda udhaifu uliounyesha.......am not against homosexuality........... What!!! Tabia chafu si ya kufumbia macho hata kidogo, bora watu wakuone mshamba ama umepitwa na wakati lkn umesimamia unachoamini brother
 
Mkuu mbona unanishambulia kimakosa hivi? Kosa langu hapa ni nini? Nimetenda nini hadi uniite hivyo? Mbona tunakoseana heshima hivi?
Hahaa mkuu naona jamaa hana muda kukusoma anakutuhumu tu. Inaonesha huyo jamaa amemkera umakini wake kukuelewa haupo tena
 
Hahaa mkuu naona jamaa hana muda kukusoma anakutuhumu tu. Inaonesha huyo jamaa amemkera umakini wake kukuelewa haupo tena
Aisee nimejikuta nashangaa!! Na hii heshima yangu na utu uzima huu leo natukanwa kijumla hivi!!

Nimebaki najiuliza ana kisa nami au ana lingine? Hivi mtu aliyesoma post kwa makini kabla ya ku reply anaweza kuwa hivi?

Malezi ya kishenzi shenzi na lishe duni zinaharibu sana waafrika wengi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom