Dunia ya Mungu, Vitu vya mzungu

Dunia ya Mungu, Vitu vya mzungu

Hawa wazungu waache tu kama walivyo, pengine wasingekuwa wao mtu wa Ntwara asingejua kama kuna sehemu inaitwa Mara!
 
Hawa wazungu waache tu kama walivyo, pengine wasingekuwa wao mtu wa Ntwara asingejua kama kuna sehemu inaitwa Mara!

Mmmh,hii ass kissing ni too much....hebu kuweni reasonable kidogo...na historia mmesoma kweli?
 
Tumia common sense tu. Angalia maisha wanayoishi wazungu na linganisha na ya kwetu. Utagundua porojo nyingne hazitusaidia.angalia kila kitu around yu ni matokeo ya kazi za wazungu.kila kitu....

Ndugu yangu,! huo ukweli wa kwako uko wapi?
 
Tumia common sense tu. Angalia maisha wanayoishi wazungu na linganisha na ya kwetu. Utagundua porojo nyingne hazitusaidia.angalia kila kitu around yu ni matokeo ya kazi za wazungu.kila kitu....
Kigezo cha uhalisi wa maisha hakupindishi ukweli, hii haihitaji kuwa na degree nyingi.
Ni jambo la muda tu.
 
Nambie wewe unatumia kigezo gani?ili tuwekeane facts hapa na si porojo za kila siku


Kigezo cha uhalisi wa maisha hakupindishi ukweli, hii haihitaji kuwa na degree nyingi.
Ni jambo la muda tu.
 
Angalia sudani kusini, Burundi na Zanzibar ndiyo utaelewa

Usiseme hivyo...hata nchi za ulaya mashariki zina matatizo hayo hayo...tena sasa hivi...nyuma kidogo kulikua na watawala wa ajabu sana ulaya,ukisoma historia zao utashangaa
 
Waafrika tunatumia akili zetu kwenye porojo zaidi kuliko vitendo.
 
Huu ni ukwel kabisaa!!!.. waafrica tunashindwa kujitawala wnyewe.

mwafrica mwenzangu unanini kujitia hasira za kimbunga kuacha mibuyu na kuparamia #migomba.

Sinema za Bongo movie na Nigeria waigizaji walio wengi katika hali ya kawaida huonekana wamekasirika na kufoka kwa sauti bila sababu,labda tuseme African tupo short tempered.Lakini hili la kujitawala sio kama hatuwezi ila shida ni kujiona zaidi ya wale unaowatumikia hawana maana.Utawala unataka hekima na malidhiano,no body is perfect.
 
Back
Top Bottom