Dunia ya Mungu, Vitu vya mzungu

Dunia ya Mungu, Vitu vya mzungu

Waafrika tuwashukuru sana wazungu, kama sio wazungu tungekuwa kama nyani
Dah leo ndo nimegundua we jamaa ni mweupe sana huko juu,hata mtoto wa darasa 5 anaijua history vizuri ya wazungu na bara la Afrika mzee,namna hii mtawafanya vijana wa kumumba buku 7 kulitawala hili jukwaa sana.
 
Waafrika ndio walionzisha civilization. ..wazungu wakaiga na kuibadilisha kwa ajili ya interest yao...ikaenda kwa mchina. ..sasa inarudi AFRICA. ..as it was in the beginning so it shall be at the end. ...fanya uchunguzi kwanza kabla hujaja na uwongo wa kupita kiasi. ....usijichukie kiasi hicho. ..duh. ..have a nice Sunday my friend
 
Waafrika ndio walionzisha civilization. ..wazungu wakaiga na kuibadilisha kwa ajili ya interest yao...ikaenda kwa mchina. ..sasa inarudi AFRICA. ..as it was in the beginning so it shall be at the end. ...fanya uchunguzi kwanza kabla hujaja na uwongo wa kupita kiasi. ....usijichukie kiasi hicho. ..duh. ..have a nice Sunday my friend
Africa with a great history, kinachoonekana leo ni kinyume tu na hali halisi.
History ya nchi ya asali na maziwa ni kwa ajili ya Wafrika na si vinginevyo.
Sawa vitu ni vya mzungu,lakini ufalme wa kuendelea kuishi kizazi kwa kizazi bila kubadilika kwenda aina ingine ya viumbe ni kwa wafrika pekee.
Mkuu uko sawa kabisa nakuunga mkono.
 
Mhh! Kuna jamaa nlikutana nae pale Frankfurt ujeremani anarudi nyumbani Tanzania...nikamwambia si tubaki tu huku tutafute kazi? Jamaa likajibu "nyani kwake mstuni, mie narudi zangu Africa." Hii kauli ilinitoa kwenye mood kabsa nilihisi kama nimebaguliwa na mwafrika mwenzangu... Yaani nyani....kama nyani ngabu? Loh!
 
Africa with a great history, kinachoonekana leo ni kinyume tu na hali halisi.
History ya nchi ya asali na maziwa ni kwa ajili ya Wafrika na si vinginevyo.
Sawa vitu ni vya mzungu,lakini ufalme wa kuendelea kuishi kizazi kwa kizazi bila kubadilika kwenda aina ingine ya viumbe ni kwa wafrika pekee.
Mkuu uko sawa kabisa nakuunga mkono.
AMEN RA
 
BILA MZUNGU nisingeona JF
Haya ni mapambo tu ya kidunia.
Ni sawa na enzi ile machifu wetu walivyopewa vioo na mivinyo ya wazungu.
Ogapa kitu kinaitwa moto kwani ndio mwanzo na mwisho wa Dunia,
Mgunduzi wa moto ndiye mrithi wa Dunia.
 
Dah sijapata maoni yanayoendana na mm maana dunia gunia mamia hujazwa na familia zilizotoka edeni. Au machiz mmeniroga
 
Acha uongo ndugu yangu. Kwa nini unaongea uongo huku we mwenyewe ukiuamini kabisa?


Africa with a great history, kinachoonekana leo ni kinyume tu na hali halisi.
History ya nchi ya asali na maziwa ni kwa ajili ya Wafrika na si vinginevyo.
Sawa vitu ni vya mzungu,lakini ufalme wa kuendelea kuishi kizazi kwa kizazi bila kubadilika kwenda aina ingine ya viumbe ni kwa wafrika pekee.
Mkuu uko sawa kabisa nakuunga mkono.
 
Back
Top Bottom