Yaania eti unasema INASEMEKANA?maana yake ni story ya vijiweni.nenda kamdanganye uje uone atakavyofumuliwa.inachokiepuka America ni kuingia gharama za kuhudumia wahanga baada ya vita maana dunia yote itasema wawalipe na kuwauguza na kurudisha miundo mbinu.ukiisikia America hiyo ni tishioAna technologia ya kufa mtu ambayo mataifa yote duniani yanaitafakari. Kim sio mpumbavu kumbwekea Marekani vile. Huyu jamaa inasemekana ana uwezo wa kuzima satellites zote angani zinazoendesha mifumo yote ya ki-eletronic duniani ikiwemo ile ya bwana mkubwa wa Lushoto.
Anaweza kusababisha nyambizi na ndege za bwana mkubwa zikajam zote.
Tusishabikie vita ya Korea na majirani zake na Marekani inaweza kuiyumbisha dunia nzima.
Hahahaha... Hata kama ni uzembe wa Kufuatilia mambo na historia ya Dunia siyo Kwa kiwango cha kuamini Korea Kaskazini inauwezo wa Kuzima Setelite zote angani!!!!.....Ana technologia ya kufa mtu ambayo mataifa yote duniani yanaitafakari. Kim sio mpumbavu kumbwekea Marekani vile. Huyu jamaa inasemekana ana uwezo wa kuzima satellites zote angani zinazoendesha mifumo yote ya ki-eletronic duniani ikiwemo ile ya bwana mkubwa wa Lushoto.
Anaweza kusababisha nyambizi na ndege za bwana mkubwa zikajam zote.
Tusishabikie vita ya Korea na majirani zake na Marekani inaweza kuiyumbisha dunia nzima.
Hahahaha... Hata kama ni uzembe wa Kufuatilia mambo na historia ya Dunia siyo Kwa kiwango cha kuamini Korea Kaskazini inauwezo wa Kuzima Setelite zote angani!!!!.....
Kulingana na ukuaji wa Teknolojia Kwa sasa nchi Tishio Duniani kwa Teknolojia za Surprise ni ISRAEL,USA,RUSSIA,CHINA,...hao akina NORTH KOREA ni KIBURI CHA UTHUBUTU na kinga za Kaka zake Mabaunsa akina Uchina na Urusi.
Siombei Vita lakini ukweli nikwamba ikitokea USA akaliamusha Dude kumpiga kiduku na nchi nyingine isiiingilie.....yaan wapigane wawili tuu....na kila mtu aruhusiwe kutumia uwezo wake to the maximum NORTH KOREA ITACHAKAZWA NDANI YA MASAA MAWILI TUU...mengine itabaki historia.
THAT ZIONIST EVIL WANT WAR111 WAR TO USE STUPID AMERICAN TO GET TO RUSSIA CHINA TO DESTROY THEM AND AMERICA .AND THEN USE NUKES TO MIDDLE EAST TO MAKE JUST JEW BE IN THE WRLD ZIONIST EVIL INTERNATIONL TERRORIST DREAMS
Iraq ameshalipwa?Yaania eti unasema INASEMEKANA?maana yake ni story ya vijiweni.nenda kamdanganye uje uone atakavyofumuliwa.inachokiepuka America ni kuingia gharama za kuhudumia wahanga baada ya vita maana dunia yote itasema wawalipe na kuwauguza na kurudisha miundo mbinu.ukiisikia America hiyo ni tishio
Muamerika ana historia gani ya katika ulingo wa vita mkuu. Nitajie vita aliyowahi kushindaCheza na watu wote lakini sio muamerika.
Pimbi tuu wewe unajuwa nini just zip you're lips ndorobo wee eboo!Lugha gani hii kuu?? Is this English, Germany or Russian?? Soma tena ulichoandika au mwombe mwanao wa darasa la 6 akuandikie.