nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,806
- 14,373
Sasa taifa la Israel lilishapigwa laana na Mungu kwa kuua na kuadhibu mitume nq manabii wake. Ukiristo na Uislamu unasema wamepigwa laana itakayowatesa kizazi hadi kizazi.
Hiyo dola itasimama vipi?
Au miungu yenu inasema uongo?
Naum '' .....na laana iwe juu yetu na uzao wetu........''