Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

Kama kawaida tu maisha yangeendelea
 
Tofauti ya Wayahudi na Jamii zozote
1. Hawajawahi kufata Dini na Imani za kigeni Tangu Miaka 3000 iliyopita.
2. Wao Dini yao haifundishi Maisha ya pepo na kuzimu (Wao Maisha ni hapa Duniani)
3. Hawaamini kumuachia Mungu, wanaamini kila juhudi ya mtu inamaana
 
Mtoa hoja - mbona wa wafiristi nao wamegundua mengi saana ila hujayataja.
 
Historia inatuambia binadamu wa kwanza waliishi Afrika.

Kama kuna jamii ilipaswa kushukuriwa kwa kila kitu kilichopo hapa duniani, basi ni sisi waafrika manake bila sisi hata hao wayahudi, wazungu nk wote wasingekuepo!

Sisi ndio taifa teule.
 
Dunia ingekuwa haina maendeleo! Tusingeona mapinduzi ya sayansi na teknologia yaliyoifanya dunia kuendelea!
Wayahudi ni watu waliobarikiwa katika maswala ya teknologia! Dunia imebarikiwa kwa sababu yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…