Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,429
- 2,970
Habari zenu wakuu,, jinsi Dunia inavoonekana Kwa mbali Kwa kweli ni kitu Cha kustaajabisha
Hua Nawaza kama Kuna sehemu ( sayari ) Kuna viumbe kama sisi basi siku wakija huku watakua wanashangaa sana
Maana Kwa picha zinazoonekana Kwa mbali huwezi Dhania ndani ya hio Dunia ukifika Kuna technology za ajabu ,, watu wanawasiliana live bara to bara,, ndani ya hio Dunia Kuna mengi binadamu wameweza jitengenezea umeme wap nyumba zao nk,, wanavaa nguo, wameweza Unda vifaa kama capacitor ,resistor, na circuit mbali mbali zinatengenezwa,
Wameweza Jenga majengo marefu ambapo Kwa mbali unaona ni duara tu
Hua Nawaza mfano kiumbe kutoka sayari ingine kama vipo si watakua wanashangaa sana je na sisi tukienda kwao tutaona vitu vya ajabu sana,, mfano their means of transport nakadhalika,
Technology hio hio inasababisha tunauana , kwenye Hilo li mpira kizuri huwezi Dhania kama Kuna mtu Yuko tayari kuua Ili aendelee Baki madarakani daaa
Hua Nawaza kama Kuna sehemu ( sayari ) Kuna viumbe kama sisi basi siku wakija huku watakua wanashangaa sana
Maana Kwa picha zinazoonekana Kwa mbali huwezi Dhania ndani ya hio Dunia ukifika Kuna technology za ajabu ,, watu wanawasiliana live bara to bara,, ndani ya hio Dunia Kuna mengi binadamu wameweza jitengenezea umeme wap nyumba zao nk,, wanavaa nguo, wameweza Unda vifaa kama capacitor ,resistor, na circuit mbali mbali zinatengenezwa,
Wameweza Jenga majengo marefu ambapo Kwa mbali unaona ni duara tu
Hua Nawaza mfano kiumbe kutoka sayari ingine kama vipo si watakua wanashangaa sana je na sisi tukienda kwao tutaona vitu vya ajabu sana,, mfano their means of transport nakadhalika,
Technology hio hio inasababisha tunauana , kwenye Hilo li mpira kizuri huwezi Dhania kama Kuna mtu Yuko tayari kuua Ili aendelee Baki madarakani daaa