Point of No Return 19
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 203
- 476
Nimeona mahali kuwa Dunia inadaiwa Mara 3 ya Pato lake
Sasa inadaiwa na Nani ???
Naomba kufahamishwa
Sasa inadaiwa na Nani ???
Naomba kufahamishwa
Nimekuelewa mkuuKama ambavyo wewe unaweza kuwa na deni benki la milioni 50 wakati jumla ya mshahara wako kwa mwaka ni milioni 25.
Walichofanya ni kuchukua idadi ya mikopo yote duniani na kuijumlisha pamoja
Umenikumbusha "Are we alone?🤣🤣🤣🤣🪑💺Aliens wanatudai
Yaani kuna wajinga wana mamlaka ya kuchapisha hela halafu wanazikopesha. Na wanadai na riba juu wakati sisi huku chini kupata hiyo buku mpaka upambane. Ko ndiyo hivyo. Na hii ni hatari sana ipo siku kwa kadri deni linavyoendeleakuwa kubwa uchumi wa dunia utaangukaNimeona mahali kuwa Dunia inadaiwa Mara 3 ya Pato lake
Sasa inadaiwa na Nani ???
Naomba kufahamishwa
Raia wapo wengi sana huko kwa mahewaUmenikumbusha "Are we alone?🤣🤣🤣🤣🪑💺
Ooh okKama ambavyo wewe unaweza kuwa na deni benki la milioni 50 wakati jumla ya mshahara wako kwa mwaka ni milioni 25.
Walichofanya ni kuchukua idadi ya mikopo yote duniani na kuijumlisha pamoja
Na mbinguni wanadaiwa.Nimeona mahali kuwa Dunia inadaiwa Mara 3 ya Pato lake
Sasa inadaiwa na Nani ???
Naomba kufahamishwa
DuhYaani kuna wajinga wana mamlaka ya kuchapisha hela halafu wanazikopesha. Na wanadai na riba juu wakati sisi huku chini kupata hiyo buku mpaka upambane. Ko ndiyo hivyo. Na hii ni hatari sana ipo siku kwa kadri deni linavyoendeleakuwa kubwa uchumi wa dunia utaanguka
Sasa iweje wachukue deni langu wajumlishe na la mo dewji halafu waseme dunia inadaiwa? Kuna watu hawajawahi kukopa na wapo hapa duniani.Kama ambavyo wewe unaweza kuwa na deni benki la milioni 50 wakati jumla ya mshahara wako kwa mwaka ni milioni 25.
Walichofanya ni kuchukua idadi ya mikopo yote duniani na kuijumlisha pamoja
For analysis purpose.Sasa iweje wachukue deni langu wajumlishe na la mo dewji halafu waseme dunia inadaiwa? Kuna watu hawajawahi kukopa na wapo hapa duniani.