Dunia inachekesha sana

Dunia inachekesha sana

Cobra70

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2020
Posts
248
Reaction score
550
Binti anaanza ngono kuanzia miaka 12 hadi miaka zaidi ya 20 na utitiri wa wanaume hadi kuta za uke zinalegea baadae akiolewa anaanza oo..h eti mwanaume huyu ana kibamia. Uke umeulegeza mwenyewe unategemea radha uipate wapi!

Mabinti wa kisasa kila ukikagua picha zao insta na mitandao mingine ya kijamii hukosi picha wakionesha makalio. Je implication za kuonesha ukubwa wa makalio yao kwenye mitandao ya kijamii wanakuwa wanatuhamasisha tuwafanyeje au makalio yao yana nini?

Mabinti wa kisasa wanapenda wanaume wabana pua, wauza sura mana ni wasanii wa maisha na si waoaji na pia wanaume wenye fedha ambao wengi wao ni wanaume za watu waliochuma mali na wake zao baadae wakizalishwa na kupigwa chini wanaanza kulia oo..h maisha ya usingle mother ni magumu mala natamani kuolewa na mwanamme yeyote anayejituma je ulichelewa wapi!
 
Wengi ni punguani wasio jitambua wanaangalia sura tu akijiona mrembo basi anajua atatamba na anaweza kuolewa na mtu yeyot so anapokuwa anafany hivyo hatake risk kwamba kivamia ngono kwa jibaba mwisho wake hatokuwa na thaman tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom