Dunia ina mengi...

Jstar1

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,392
Reaction score
1,416
Mara ghafla nawai kwenye dala dala, Jstar1 mwenyewe, ile nakarbia tu kukaa kwenye seat, mara ghafla ety naunguza mboga, wakati kipindi naanza kupika nilijua kabisa mimi siwezi kucheza mpira.

Sasa kama mimi mtu unakubali kabisa, mara paap naenda kununu chai, kabla sijamalza kucheza mziki yule demu akasogea karbu yangu, ila kipindi napanda ule mti mvua ilikua haijaanza kunyesha.

sasa kama mtu unaanza la kwanza, alafu siku umeenda kuanza siku io io unapoteza penseli, ivi unais utapata pesheni, au wakati kipindi unakula magimbi bila maji ulitegemea nini.

mimi nashangaa kabisa, yaani eti mtu unaamka asbui na mapema, ila wakati ndege za kenya airways waga nakaa seat za mbele.
 
Wewe ni yule jamaa wa Tafakari time? Aliye ulizwa anaelewa Nini kuhusu elimu, akajibu anaelewa Kama ni kitanda ambacho wamekitandika, kukaa na kuongea ongea.
 
Mkuu ulikula cha Njombe ,Arusha la cha Malawi?
 
Hii lugha niliikuta kwa wale jamaa pale ndani ya mirembe.
 
Mkuu umeandika nondo sana dah! Kweli JF ya siku hizi ni kisima cha maarifa.
 
Alie karibu ampokonye huyo jamaa simu dish limeanza kuyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…