Dunia ina mambo...

Najarbu kuwaza hvi umri huu ntakuja kumpenda mwanamke kindak ndaki namna hyo daah sjui aisee
Nahis moyo wangu ushaamuwa kuwa mbinafsi
 
What goes around comes around ,baadhi ya wanaume wakikutana na mabinti wanaowapenda kwa dhati upenda kuwanyanyasa na kuona dunia yote wameishikilia ila baadae huja kukiona cha moto ,Karma atamlipia huyo binti msahuri aachane nae aendelee na maisha kwani huyo jamaa sio mwanaume peke yake wapo kibao tu
 
Tafuta namna ya kumsaidia hata kwa ushauri tuu utabarikiwa sana kuliko kuendelea kumuona akiteseka.
 
Kweli dunia ina mambo toka kitambo..Binti asife moyo anaweza kupendwa tena na maisha yakaendelea
 
Kwani mwanamke ni wa mtu mmoja? miss chagga

Chibuku ni pombe ambayo walioibuni waliileta wakawa wanaiuza kwa kutumia mavikombe makubwa mapana ya plastiki. Sababu ni kwamba, watu wanyee kikombe kimoja wengi mkiwa mnazungusha kwa wote waliopo hapo.
Lakini, soda kinywaji ambacho ni common kwa watu wote kikaletwa kwenye chupa yenye mdomo mwembamba. Kila chupa kwa mdomo mmoja. Huwezi fungua chupa, uizungushe kwa watu ati kila mtu anywe kidogo kidogo. Huo si ustaarabu wala si vyema kwa afya yako.
Pia, mwanamke alivyo umbwa, aliumbwa kwa ajili ya mtu mmoja tu. Si kwa ajili ya wengi. Hata maandiko yaliwataja wanaume waliokuwa na wanawake wengi kwa kipindi kimoja ila hakuna mwanamke aliyetajwa akiwa na wanaume zaidi ya mmoja.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…