Dunia ina maajabu yake

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,793
Reaction score
5,042
Leo kipindi natoka zangu Church nimekutana na dada mmoja njiani alikuwa hajui wapi ameweka simu yake akaniomba simu ili ajipigiye.

Nikampa kwa amani kabisa kwa bahati nzuri akapiga simu yake ikaita na akajua wapi ndo alikuwa ameweka simu maana alifikiri labda vijana wameshafanya yao basi tukaachana mimi nikaondoka zangu.

Kufika hii jioni amenitumia sms ya kunitukana bila kosa

Dunia ina maajabu yake
 
Mmh mkuu mtu akutukane bila kosa kweli,??
Yani apige simu afu aanze kukutukana, hujafanya jambo kwel, [emoji23]
 
Screenshot hiyo msg tuione?
 
Mafundisho Ya Church umeyapuuza nini hawajakwambia Samehe 7 Mara Sabini, nini Sasa uje umfungulie Uzi Kbs?
 
Share hiyo namba...uyo kachanganya mafile...ila alichukua yako ukamle..sasa leta nitembelee nyota yako apo
 
Nikwamba hujui kwann kakutukana au ndio unataka iwe mada,..ilibidi ujiongezee!
 
Polee mkuu

Kaona amekup number alafu umtongz
 
Sema tu ukweli ya kwamba ulimtongoza kakutolea nje,, alishakuona wewe sio mlamba asali na inawezekana pia ulivaa kisabato!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…