Dunia ikizidiwa uzito haitadidimia?

Yuyo Ahumile Shamalendi

JF-Expert Member
Mar 10, 2018
993
782
Wakuu habari.

Mada kama ilivyosema hapo juu, ni kwamba jinsi miaka inavozidi kwenda dunia inazidi kuongezewa uzito je haitakuja kudidimia?

Tupeane mawazo hapa, kwani baadhi ya vitu vinavyoongeza uzito ni viumbe hai pamoja na mimea, lakini vitu kama majengo, magari, meli, ndege, matreni na makolokolo mengi haya yalikuwepo kutoka ardhini, kinachofanyika ni kuyahamisha kutoka udongo kua majengo na kutoka mawe kua majengo pia kutoka vyuma kua magari na vyombo vinginevyo, ni kama kutoa pesa mfuko huu na kuweka mfuko huu.

Viumbe hai vinaongeza uzito kwa kuzaliana pamoja na kwamba vinakufa, lakini speed ya kufa na kuzaliana hazilingani, na mimea pia inaongezeka kwa kuota.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo Dunia haiwezi kuja kuzidiwa uzito?
 
Wakuu habari.

Mada kama ilivyosema hapo juu, ni kwamba jinsi miaka inavozidi kwenda dunia inazidi kuongezewa uzito je haitakuja kudidimia?

Tupeane mawazo hapa, kwani baadhi ya vitu vinavyoongeza uzito ni viumbe hai pamoja na mimea, lakini vitu kama majengo, magari, meli, ndege, matreni na makolokolo mengi haya yalikuwepo kutoka ardhini, kinachofanyika ni kuyahamisha kutoka udongo kua majengo na kutoka mawe kua majengo pia kutoka vyuma kua magari na vyombo vinginevyo, ni kama kutoa pesa mfuko huu na kuweka mfuko huu.

Viumbe hai vinaongeza uzito kwa kuzaliana pamoja na kwamba vinakufa, lakini speed ya kufa na kuzaliana hazilingani, na mimea pia inaongezeka kwa kuota.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo Dunia haiwezi kuja kuzidiwa uzito?
Huwenda imezidiwa uzito na sasa hivi inaanguka.

Sasa jiulize dunia itaangukia wapi amana huko ni open scape tu?

Huwenda sasa hivi tulipo dunia inaanguka tu ipo kwenye motion ila sasa itaangukia wapi...?
 
Wakuu habari.

Mada kama ilivyosema hapo juu, ni kwamba jinsi miaka inavozidi kwenda dunia inazidi kuongezewa uzito je haitakuja kudidimia?

Tupeane mawazo hapa, kwani baadhi ya vitu vinavyoongeza uzito ni viumbe hai pamoja na mimea, lakini vitu kama majengo, magari, meli, ndege, matreni na makolokolo mengi haya yalikuwepo kutoka ardhini, kinachofanyika ni kuyahamisha kutoka udongo kua majengo na kutoka mawe kua majengo pia kutoka vyuma kua magari na vyombo vinginevyo, ni kama kutoa pesa mfuko huu na kuweka mfuko huu.

Viumbe hai vinaongeza uzito kwa kuzaliana pamoja na kwamba vinakufa, lakini speed ya kufa na kuzaliana hazilingani, na mimea pia inaongezeka kwa kuota.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo Dunia haiwezi kuja kuzidiwa uzito?
Dunia ata tuongezeke vipi haiwezi kuzidiwa na uzito kwa kuwa kila anayezaliwa kg zake zinaendana na chakula kutoka katika mimea au wanyama wapatikanao duniani na tunaishi katika cycle ya kufa na kuzaliwa (wanyama na mimea) kinachoweza kutokea ni uharibifu wa mazingira tu! mfano ukihamisha nondo na vyuma vizito kutoka China kuja kujenga bara la afrika miundombinu,ipo siku uwiano wa uzito unatokea ardhi inadidimia na upande mwingine wa Dunia utaji balance kwa kutokea bonde au mlima lakini total weight of planet earth(including animals & plants) will remain constant. Kinachoweza kuharibu tu ni kama vimondo na miamba ikianguka kuja kutua duniani na vitu vingine tukivihamisha kutoka sayari nyingine tukivileta huku,mfano (japo sio halisi) tuhamishe madini chuma kutoka Mars yenye kufika yani nyingi sana.
 
Wakuu habari.

Mada kama ilivyosema hapo juu, ni kwamba jinsi miaka inavozidi kwenda dunia inazidi kuongezewa uzito je haitakuja kudidimia?


hakuna uzito wa ziada duniani

Tupeane mawazo hapa, kwani baadhi ya vitu vinavyoongeza uzito ni viumbe hai pamoja na mimea, lakini vitu kama majengo, magari, meli, ndege, matreni na makolokolo mengi haya yalikuwepo kutoka ardhini, kinachofanyika ni kuyahamisha kutoka udongo kua majengo na kutoka mawe kua majengo pia kutoka vyuma kua magari na vyombo vinginevyo, ni kama kutoa pesa mfuko huu na kuweka mfuko huu.

Viumbe hai vinaongeza uzito kwa kuzaliana pamoja na kwamba vinakufa, lakini speed ya kufa na kuzaliana hazilingani, na mimea pia inaongezeka kwa kuota.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo Dunia haiwezi kuja kuzidiwa uzito?
 
Wakuu habari.

Mada kama ilivyosema hapo juu, ni kwamba jinsi miaka inavozidi kwenda dunia inazidi kuongezewa uzito je haitakuja kudidimia?

Tupeane mawazo hapa, kwani baadhi ya vitu vinavyoongeza uzito ni viumbe hai pamoja na mimea, lakini vitu kama majengo, magari, meli, ndege, matreni na makolokolo mengi haya yalikuwepo kutoka ardhini, kinachofanyika ni kuyahamisha kutoka udongo kua majengo na kutoka mawe kua majengo pia kutoka vyuma kua magari na vyombo vinginevyo, ni kama kutoa pesa mfuko huu na kuweka mfuko huu.

Viumbe hai vinaongeza uzito kwa kuzaliana pamoja na kwamba vinakufa, lakini speed ya kufa na kuzaliana hazilingani, na mimea pia inaongezeka kwa kuota.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo Dunia haiwezi kuja kuzidiwa uzito?
Ng'ombe akiwa na kilo 100, akijisaidia hapo hapo kwenye mzani,je uzito utaongezeka?
Nikuulize kwanza hili swali,
 
Wakuu habari.

Mada kama ilivyosema hapo juu, ni kwamba jinsi miaka inavozidi kwenda dunia inazidi kuongezewa uzito je haitakuja kudidimia?

Tupeane mawazo hapa, kwani baadhi ya vitu vinavyoongeza uzito ni viumbe hai pamoja na mimea, lakini vitu kama majengo, magari, meli, ndege, matreni na makolokolo mengi haya yalikuwepo kutoka ardhini, kinachofanyika ni kuyahamisha kutoka udongo kua majengo na kutoka mawe kua majengo pia kutoka vyuma kua magari na vyombo vinginevyo, ni kama kutoa pesa mfuko huu na kuweka mfuko huu.

Viumbe hai vinaongeza uzito kwa kuzaliana pamoja na kwamba vinakufa, lakini speed ya kufa na kuzaliana hazilingani, na mimea pia inaongezeka kwa kuota.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo Dunia haiwezi kuja kuzidiwa uzito?
hata tuzaliane vipi hata tugenge vipi n asilimia 25 tuu ya dunia amabayo ni nchi kavu na asislimi 75 ni maji na katika hiyo 25% ni ailimia ndogo tuu ambapo tumeshajenga...mass ya dunia ni kubwa sana yaani kujenga vitu ambavyo vitaishinda dunia ni haiwezekani.....huu ndio uzito wa dunia {5.972 × 10^24 kg} unaweza kuangalia ni uzito kiasi gani
 
Wakuu habari.

Mada kama ilivyosema hapo juu, ni kwamba jinsi miaka inavozidi kwenda dunia inazidi kuongezewa uzito je haitakuja kudidimia?

Tupeane mawazo hapa, kwani baadhi ya vitu vinavyoongeza uzito ni viumbe hai pamoja na mimea, lakini vitu kama majengo, magari, meli, ndege, matreni na makolokolo mengi haya yalikuwepo kutoka ardhini, kinachofanyika ni kuyahamisha kutoka udongo kua majengo na kutoka mawe kua majengo pia kutoka vyuma kua magari na vyombo vinginevyo, ni kama kutoa pesa mfuko huu na kuweka mfuko huu.

Viumbe hai vinaongeza uzito kwa kuzaliana pamoja na kwamba vinakufa, lakini speed ya kufa na kuzaliana hazilingani, na mimea pia inaongezeka kwa kuota.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo Dunia haiwezi kuja kuzidiwa uzito?
God made everything perfect!..
 
hata tuzaliane vipi hata tugenge vipi n asilimia 25 tuu ya dunia amabayo ni nchi kavu na asislimi 75 ni maji na katika hiyo 25% ni ailimia ndogo tuu ambapo tumeshajenga...mass ya dunia ni kubwa sana yaani kujenga vitu ambavyo vitaishinda dunia ni haiwezekani.....huu ndio uzito wa dunia {5.972 × 10^24 kg} unaweza kuangalia ni uzito kiasi gani
Hata hivyo vitu vitakavyojengwa na kuongeza uzito duniani nayo haiwezekani...kwa vile materials yote yanayotumiwa kujengea yanatoka duniani humu humu...hence mass ya dunia inabaki kuwa ile ile.
 
Wakuu habari.

Mada kama ilivyosema hapo juu, ni kwamba jinsi miaka inavozidi kwenda dunia inazidi kuongezewa uzito je haitakuja kudidimia?

Tupeane mawazo hapa, kwani baadhi ya vitu vinavyoongeza uzito ni viumbe hai pamoja na mimea, lakini vitu kama majengo, magari, meli, ndege, matreni na makolokolo mengi haya yalikuwepo kutoka ardhini, kinachofanyika ni kuyahamisha kutoka udongo kua majengo na kutoka mawe kua majengo pia kutoka vyuma kua magari na vyombo vinginevyo, ni kama kutoa pesa mfuko huu na kuweka mfuko huu.

Viumbe hai vinaongeza uzito kwa kuzaliana pamoja na kwamba vinakufa, lakini speed ya kufa na kuzaliana hazilingani, na mimea pia inaongezeka kwa kuota.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo Dunia haiwezi kuja kuzidiwa uzito?
Dunia kuzidiwa uzito hivyo ni vigumu mara nyingi sana zaidi ya wewe kuzidiwa uzito na nywele zako mpaka uanguke.
 
Wakuu habari.

Mada kama ilivyosema hapo juu, ni kwamba jinsi miaka inavozidi kwenda dunia inazidi kuongezewa uzito je haitakuja kudidimia?

Tupeane mawazo hapa, kwani baadhi ya vitu vinavyoongeza uzito ni viumbe hai pamoja na mimea, lakini vitu kama majengo, magari, meli, ndege, matreni na makolokolo mengi haya yalikuwepo kutoka ardhini, kinachofanyika ni kuyahamisha kutoka udongo kua majengo na kutoka mawe kua majengo pia kutoka vyuma kua magari na vyombo vinginevyo, ni kama kutoa pesa mfuko huu na kuweka mfuko huu.

Viumbe hai vinaongeza uzito kwa kuzaliana pamoja na kwamba vinakufa, lakini speed ya kufa na kuzaliana hazilingani, na mimea pia inaongezeka kwa kuota.

Kwa hiyo kutokana na hali hiyo Dunia haiwezi kuja kuzidiwa uzito?
Hakuna kianachoongeza uzito, viumbe hai vinatokana na madini pamoja na maji ambayo yanatoka hapa hapa duniani, kiumbe kikifa vyote vinarudi katika hali yake ya mwanzo.

Mwisho wa siku bila bila.
 
Back
Top Bottom