Kweli dunia ni pasua kichwa, wakati wengine wanalia ukata wa maisha, kwa upande mwingine ugumu wa dunia ni msamiati kwao, kwa kuwa kila kitu wanacho akifanya hiki pesa zinatiririka kamaji kwake akigeukia upande mwingine ni pesa tu,wenzake wanapolia ugumu wa dunia wanawaona kama watu waliokosa akili.