Duni Hajji ashindwa kusuluhisha UKAWA - Mtama

Duni Hajji ashindwa kusuluhisha UKAWA - Mtama

Hata Jimbo La Segerea Lina Mashaka Pia,nimesoma Gazeti La Majira Leo Linaonyesha Theopista Akidai Ndo Mgombea Wa Ukawa While Walitangaza Before Kuwa Ni Mtatiro..
 
Watanzania wenzangu tusiwe wajinga kwa kuona tumesimamisha wagombea wawili. cha msingi hapo ni wapiga kura kuachiwa waamue wampigie mmoja kati ya wagombea hao wawili wa ukawa . na hili naamini linawezekana. Nape asiwe na chake hapo kwanza hafai kwenda mjengoni.
Kufuatia ziara za mgombea mwenza mikoa ya kusini Lindi na Mtwara asubuhi ya leo amekutana na kizingiti baada ya kushindwa kutoa ufafanuzi nani awe mgombea kupitia UKAWA baada ya CHADEMA na CUF kila mmoja kusimamisha mgombea jimboni hapo.

CHADEMA imemsimamisha Ndg Selemani Methew Luwongo ambaye alikosa nafasi hiyo kupitia CCMna wakati huo huo Chama cha Wananchi CUF kimemsimamisha ndg Isihaka Mchinjita.

Hali hiyo imejitokeza leo asubuhi wakiwa kwenye vikao vya ndani ambapo wagombea Ubunge kila mmoja yeye anaweza kupambana na Nape, kwenye mkutano uliofaonyika baada ya vikao vya ndani Duni Hajji alishindwa kumtangaza mgombea kupitia UKAWA hali ambayo imepelekea kuwagawa watu wa Ukawa kuhusu nani wampigie Kura oktoba Kati ya hao wawili.

Hali hii ikiendelea namuona Nape akichukua jimbo kabla ya saa mbili asubuhi.

Nb: Jimbo la Mtama lipo chini ya CUF kwenye mgawanyo wa majimbo wa UKAWA.
 
Watanzania wenzangu tusiwe wajinga kwa kuona tumesimamisha wagombea wawili. cha msingi hapo ni wapiga kura kuachiwa waamue wampigie mmoja kati ya wagombea hao wawili wa ukawa . na hili naamini linawezekana. Nape asiwe na chake hapo kwanza hafai kwenda mjengoni.

Kumbuka Kura Za Ukawa Zitagawanyika Ila Za Ccm Hazitagawanyika.Kama Ilikua Ccm Ana Kura 6 Zitabak The Same Lakini Kama Ukawa Walikua Na 10 Itabidi Zigawanyike Na Kama Wote 2 Wanakubalika We Assume Both Wapate Equal Moja Kwa Moja Unampa Nape Chance
 
Duni naona ana mikosi. Jana Masasi, mgombea aliyekuwa ana mnadi Bw.Makaidi, walimkataa! Leo huko Mtama ndiyo hivyo tena.
 
Vry low and stupid, zidini dhihirisha upumbavu na ulofa.
 
Ulitakiwa kuonyesha jinsi hoja yake haina mashiko.
Hatuko kwenye mashindano ya rep power..
Kwa hiyo ukiwa ana rep power kubwa ndo tukukubalie vitu vya kizushi au visivyokuwa na matiki?
Hoja inatenguliwa kwa hoja sio rep power....
Nani kasema tuko kwenye mashindano? Nani kasema nikubaliwe vitu vya kizushi, nimezusha kitu gani? Hoja iliyo mbele yetu ni kushindwa kwa Duni Haji kusuluhisha UKAWA jimbo la Mtama, mpaka hapo upo? Jozi 1, je ulisoma alichosema Mr Chin? Ngoja nikusaidie kwa nini huyu jamaa angekuwa kwenye maumivu makali if only idiocy was painful...nanukuu;
Mr Chin said:
Chadema are in dilemma as awareness of Fisadi is becoming more conspicuous and irreputable.
Matumizi ya maneno ya awareness of Fisadi becoming more conspicuous and irreputable yanaingiaje hapa? Je anajua uzito wa kauli yake hiyo? Tuanze kwa kutambua kuwa ufisadi ni kosa la jinai.

Conspicuous ni neno la Kiingereza na lina maana ya inayoonekana wazi na dhahiri, kwa hiyo kama kosa la jinai liko dhahiri na linaonekana wazi, kitu gani kinatakiwa kifuate kama nchi inaendeshwa katika misingi ya sheria? Au alitaka kusema nchi hii haina serikali?

Irreputable
...this is also where idiocy steps in. Yawezekana Mr Chin anajua neno la kiingereza reputable linalotokana na neno repute ikiwa na maana ya -enye sifa au heshima hivyo akiongezea ir mwanzoni anapata maana tofauti, lakini neno hilo halitumiki. Heri angetumia neno disreputable...ni ushauri tu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom