Duma tours ni matapeli?

Duma tours ni matapeli?

siku hizi ukiambiwa issue yeyote inayohusisha pesa mbele kwanza stuka.kimbia mpaka uvunjike mguu
 
Jamani jana nilitumiwa e-mail kutoka Duma tours kuwa nahitajika jumamosi saa tatu asubuhi Arusha au Dar kwenye ofisi zao lakini wakata elfu kumi kama uthibitisho wangu kama nitaenda ili wawe na uhakika nikalipa via no 0659735483 baada ya hapo nitumiwe confirmation link. Chakusangaza sijatumiwa nikipiga simu haipokelewi wa email haijibiwi
msaada please
Pole sana kaka ni matapeli wasiofika mbali elfu kumi sio pesa ya kumtapeli mtu sasa wakikamatwa na wakafungwa kisa elfu kumi upuuz
Ila achana nao make ukitaka kuwafatilia ni gharama nyingne make uende polisi then uende tigo wakajaribu kumtrack kaz sana na muda unatumika so let it go
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom