Duka la vipodozi linauzwa

Duka la vipodozi linauzwa

Wasalaam,
Waungwana ninauza duka la vipodozi kwa bei ya jumla, duka lipo eneo zuri kibiashara na huhitaji kuongeza chochote.

Duka lipo TABATA-Kinyerezi njia panda ya Tabata Kinyerezi na majumba sita na linatazama barabarani, na nitatoa discount ya 5% kwa mzigo wote uliomo dukani na samani zake. Ninaliuza kwa kuwa natarajia kuwa masomoni ughaibuni nitashindwa kulihudumia.

Anayehitaji tafadhali anaweza kuja PM tukazungumza.
Ulipata mteja mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom