Duka la dawa linauzwa!

Duka la dawa linauzwa!

sistitemu

Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
11
Reaction score
3
Duka la dawa linauzwa lipo Tabata bima (new camp bar). Duka lipo katikati ya St Mary School na St Mary College.
Duka lina kila kitu na limekamika. Njoo tuzungumze. kwa mawsiliano zaidi 0767337400/ 0713337400.
 
Safi mkuu,hembu tupia bei yake hapa.
Halafu kwanini unauza au hasara kwenda mbele?
Pia tupe mchanganu wa uendeshaji wake ili kujua kama panalipa au pamelala doro
 
Safi mkuu,hembu tupia bei yake hapa.
Halafu kwanini unauza au hasara kwenda mbele?
Pia tupe mchanganu wa uendeshaji wake ili kujua kama panalipa au pamelala doro

Mkuu pangekuwa panamlipa asingeliuza,we pigia mstari kwamba hapo full hasara,anataka atue zigo la mwizi.
 
Back
Top Bottom